Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

A city within a city


20230711_220552.jpg
20230711_220402.jpg
20230711_220326.jpg
 
Chizi wewe hebu nioneshe 30km ni kutoka wapi kwenda wapi inside nairobi city ??πŸ˜…πŸ˜…

Wakat kutoka CBD kwenda westland ni 3km kutoka CBD kwenda upperhill ni 3km au ??
Una furahisha sana. Uko tu sawa.
 
Unahangaika sana Kaka!
Mm kazi yangu ni moja tu kuwaambiwa ukweli na nilishawaambia hakuna mbongo mutamdanganya nyinyi unajua kwann mumesahau kua dunia ishafika 2023 nyinyi bado munaota dunia iko 2010 πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Uhahahha importers gani waongo? Wao wengewe wanaumbuliwa chizi wewe ndio maana muna akili ya kuvukia barabara tuπŸ˜…
Watu wengi wenye matusi huwa hawana elimu ama ndio fala. Sababu, mi sioni hapa kitu cha mno jinsi unavyo hangaika na kutusi bila hoja. Unashida!? Kuna watu kama Ndinda, Game Over, etc hurusha hoja zao kistaarabu. Wanajielewa
Hata hivyo roho mbaya haijengi, ila elimu kuhusu Nairobi utapata tu.
20230708_220000.jpg
 
Back
Top Bottom