babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,905
- 34,907
Ukiwaskia sasa na sifa zao utasema wanatoka europe![]()
Utasikia wanasema hawafuatilii mpira wa Africa kumbe ni facilities hawana.
Ukiwaskia sasa na sifa zao utasema wanatoka europe![]()
wajinga sana hawa watu wana wivu sana na maendeleo ya tanzaniaUtasikia wanasema hawafuatilii mpira wa Africa kumbe ni facilities hawana.
Facility yawa……😂😂😂Utasikia wanasema hawafuatilii mpira wa Africa kumbe ni facilities hawana.
Acha ku justify upuuzi. Akili zenu sijui zikoje hizi ni tax payers money lazima value for money ionekane na si ajabu KENHA wali accept hii barabara na contractor alishakunja zake mapema na kusepaIyo ni simple conflict btwn contractor na KPLC
That's the only way KPLC will act.
Unnecessary. Just escort them out of your waters or detain them and confiscate all their equipment. No need to kill people just trying to make a living and may very well be the sole bread winner for their family
Huo uwanja wenu usiokuwa na mataa??kuweni serious... Kasarani na nyayo ziliundergo renovations na zimetimiza masharti ya CAF zinangoja tu waangalizi wa CAF ambayo itafanyika kabla ya ya hii michezo kuanzaHuko Morroco na Egypt hakuna timu zinazoshiriki?, Ukweli ni kwamba wanajisikia vibaya kuja Tanzania kutokana na Chuki na wivu walionao kwa Tanzania.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
hauna mataa na una-host international matches?Huo uwanja wenu usiokuwa na mataa??kuweni serious... Kasarani na nyayo ziliundergo renovations na zimetimiza masharti ya CAF zinangoja tu waangalizi wa CAF ambayo itafanyika kabla ya ya hii michezo kuanza
Kwanza hio free area nakuru ni mtaa wa watu wa chini na inawekwa lami kwenye access roads wakati dar apart from the main roads ni vumbi tupubut the truth is huko mitaa ya tz lami ni hadithi tu...99% dirt roads.The poles issue will be sorted by kplc and the contractor in due course....thats why mkiambiwa lami tz ni cbd tu na wageni mnaseme mnaonewa
Hizi ni miradi za wawakilishi wodi haipo under kenhaAcha ku justify upuuzi. Akili zenu sijui zikoje hizi ni tax payers money lazima value for money ionekane na si ajabu KENHA wali accept hii barabara na contractor alishakunja zake mapema na kusepa
Mbona hamtumii vya kwenu sasa munaenda morocco kufanya nn ??😅😅😅😅😅Huo uwanja wenu usiokuwa na mataa??kuweni serious... Kasarani na nyayo ziliundergo renovations na zimetimiza masharti ya CAF zinangoja tu waangalizi wa CAF ambayo itafanyika kabla ya ya hii michezo kuanza
Ila Zanzibar inapanda kwa kasi sitashangaa kama ikiipita JNIA!According to that data in East Africa 2022
JKIA 6.56million
JNIA 2.4million
Zanzibar 1.77 million
Entebbe 1.71million
KIA 828k
Kigali 718k
Bujumbura 235k
Vitu vya ku note
Zanzibar gets more pax than Entebbe
KIA gets more passengers than Kigali
Growth of Air Tz will boost JNIA use as hub be ause of transit ya passengers , hyo ndo bread and butter ya KQ na Ethiopian
Congrats JKIA
Unahost lakini uwanja wenyewe ni ovyo eti mechi zinasimamishwa kwasababu ya mataa kuzimahauna mataa na una-host international matches?
Nilisoma somewhere imeipita JNIA Kwa namba ya International VisitorsIla Zanzibar inapanda kwa kasi sitashangaa kama ikiipita JNIA!
Wakati nyie mnasubiri subiri viwanja vyenu vya mkoloni vipewe ruhusa na CAF sisi tayari tuna viwanja vinatumika kimataifa na nchi kibao zinaomba kutumia viwanja vyetu, so we are not your level.Huo uwanja wenu usiokuwa na mataa??kuweni serious... Kasarani na nyayo ziliundergo renovations na zimetimiza masharti ya CAF zinangoja tu waangalizi wa CAF ambayo itafanyika kabla ya ya hii michezo kuanza
Kubweka tunawaachia Wakunya!
![]()
More than 19 buildings r U/C!
![]()
![]()
Ndio maana mnaambiwa mtembee msijifiche tu kwenye kijiji chenu cha wahuza mihogo mkadhani nchi zote Afrika zipo kama nyieKwanza hio free area nakuru ni mtaa wa watu wa chini na inawekwa lami kwenye access roads wakati dar apart from the main roads ni vumbi tupu








