siwezi jibizana kuhusu sgr na mtanzania labda muethiopia. Unajua nini kuhusu uzuri na ubaya wa SGR?Mumewshi kumaliza Ili muwahi kupata hasara?, Reli yenu ni mzigo kwa raia, haijawahi kutengeneza faida na kuanzia mwezi huu mnaanza kulipa deni lake, Kenya ni mfano mzuri wa kujifunza "Failures".
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
"Haya majibwa..." [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tatizo hayabebeki haya majibwa, huko Saudia wanafanya fujo sana, wanaua waarabu na kuwaibia, hawa jamaa ni laana tupu
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hebu onesha hiyo SGR nicheke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]siwezi jibizana kuhusu sgr na mtanzania labda muethiopia. Unajua nini kuhusu uzuri na ubaya wa SGR?
Niulize kuhusu MGR hiyo ndo tunashare lakini SGR Kenya East Africa yote hakuna raia wanatumia SGR isipokua raia wa Kenya
Afrika yote hakuna nchi inayotumia diesel and old model SGR yenye kusababisha hasara tupu zaidi ya Kunyaland[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji38]siwezi jibizana kuhusu sgr na mtanzania labda muethiopia. Unajua nini kuhusu uzuri na ubaya wa SGR?
Niulize kuhusu MGR hiyo ndo tunashare lakini SGR Kenya East Africa yote hakuna raia wanatumia SGR isipokua raia wa Kenya
According to that data in East Africa 2022
Ijumaa ijayo nenda kwenye maandamano ya "baba"; bila kusahau kuvaa sufuria kichwani🤣🤣🤣siwezi jibizana kuhusu sgr na mtanzania labda muethiopia. Unajua nini kuhusu uzuri na ubaya wa SGR?
Niulize kuhusu MGR hiyo ndo tunashare lakini SGR Kenya East Africa yote hakuna raia wanatumia SGR isipokua raia wa Kenya
Hakuna brt itajengwa Kenya.Nyie ni wanafunzi vilaza mlitembelea brt Tz kujifunza bado mkatoka na F na mpaka leo your brt is a joke [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
What of Mombasa airport?According to that data in East Africa 2022
JKIA 6.56million
JNIA 2.4million
Zanzibar 1.77 million
Entebbe 1.71million
KIA 828k
Kigali 718k
Bujumbura 235k
Vitu vya ku note
Zanzibar gets more pax than Entebbe
KIA gets more passengers than Kigali
Growth of Air Tz will boost JKIA use as hub hence transit of passengers
Congrats JKIA
Nilisema kodi tutafika $10B hii ni hatua nzuri sana....ni nchi chache africa zinakusanya double digits billions of dollar kodi kwa mwaka
Kwakwakwakwa 😅😅😅😅😅 ulipo mwenyewe roho inaumia kwa ulichoongeaThis Estate in Nairobi is bigger than Dodoma
View attachment 2677670View attachment 2677671View attachment 2677672
Estimates za next financial year ni 27T Kwa hiyo tunakwenda vizuriNilisema kodi tutafika $10B hii ni hatua nzuri sana....ni nchi chache africa zinakusanya double digits billions of dollar kodi kwa mwaka
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Porojo on point[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Ugly?you must be stupid or something ...Hakuna brt itajengwa Kenya.
Hatutaki barabara zetu ziwe ugly Ivo.
Never.
Sizitaki mbichi hizo, ha ha ha.😂🤣🤣 (Uliwahi kusoma hii hadithi?)Hakuna brt itajengwa Kenya.
Hatutaki barabara zetu ziwe ugly Ivo.
Never.
Ndio zama wanakata sana hizi salary aisee hasi roho inauma[emoji2][emoji2]Estimates za next financial year ni 27T Kwa hiyo tunakwenda vizuri
Wapambane inawezekana sana...Estimates za next financial year ni 27T Kwa hiyo tunakwenda vizuri
Naona hawajaiandikia hapo maybe ucheki source nyingneWhat of Mombasa airport?
Kila siku huwa nasema Air Tanzania ndiyo itakayoleta heshima ya JNIA hasa transit, ofcz now tunaendelea vizuri zikija Max 2, dreamliner 1 jumla zitakuwa 3, na hizo bombardier yn mambo yatazidi kunoga, kdg kdg tunapangua machaka ya Bole, mm siiwazi JKIA ishajifia naiwaza Bole.According to that data in East Africa 2022
JKIA 6.56million
JNIA 2.4million
Zanzibar 1.77 million
Entebbe 1.71million
KIA 828k
Kigali 718k
Bujumbura 235k
Vitu vya ku note
Zanzibar gets more pax than Entebbe
KIA gets more passengers than Kigali
Growth of Air Tz will boost JNIA use as hub be ause of transit ya passengers , hyo ndo bread and butter ya KQ na Ethiopian
Congrats JKIA
You are in that 10%[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti mkenya atamani kuwa mtanzania, we mimi hukupuuza tu