Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa mbona picha zinasema vise versa mjomba.? 🤣🤣 Au umetoa maoni kwa kutumia nini.?
Huwezi linganisha huo uchafu na Buruburu. Cha kushangaza huo uchafu ndio mwanzo na mwisho wa planned estates hapo Dar. Nairobi zipo kibao na bado zinajengwa hata huwezi hesabu.
 
Yeah ni tourist hotspot, Dar its more of business, the only way Dar gets more tourist ni kama Kigamboni/ Islands or Bagamoyo beaches become more attractive

Dar ni Transit Destination kwa sasa, Wakifocus na MICE Tourism wanatusua. Events kubwa kubwa kama sabasaba, Travel fair , Large sport Events etc , Vitatupaisha.
 
I doubt Msalato or Even Mwanza will receive alot of international planes , do you expect KLM/ Emirates /Turkish kushuka Dodoma any time soon , kwa my predicition it will take hata 10 years for Dodoma Airport to get international airlines maybe Mwanza ( Likes of KQ , Rwand na Ethiopian)

Ila Msalato maybe we will see

2.4 million maybe 60%to 70 are to and from Dar the rest ndo Transit .

Mwanza serves like 400k pax a year

Tusiidharau Dar Kias hicho ina 6million people btw
Ni kweli itachukua muda ila sioni tofauti kati ya Mwanza na Msalato airports! Labda kama ule mpango wa Migodi kuhamishia headquarters zao Mwanza utimizwe! Na kumbuka hata hao KQ, Rwandair na ET watatua pia Dodoma especially baada ya organs zote za serikali kuhamia Dodoma! Dodoma city will easily hit a mark of over 500,000 PAX in those 10 years! Even before those 10 years!
 
Kubali ukweli pita hiv wacha kujitekenya mwenyewe, likija suala la lami kando ya DAR na Nairobi, basi you are behind us for at least 50 years .. changu mji wowote ukitaka hata mombasa vs musoma tunashinda hiyo battle
Why do you argue stupidly in the era of google earth?… do you want me to embarrass you by posting google earth 2022 ya Dar to prove to you hakuna lamí in most spaces… dare me I make you look like a fool…🤣🤣🤣🤣
 
Kwani Zanzibar wana Mmarekani, Basi tu wawekezaji hasa wa ndani ndo wanahitajika , mfano Mbudya inahitaji kuwa world class island , Bongoyo etc
Ndio hawapo wa kufanya hivyo na kama wapo wivu husda na chuki Huwa vinawakwamisha..

Zenj Bakheressa kajitahidi sana.
 
Why do you argue stupidly in the era of google earth?… do you want me to embarrass you by posting google earth 2022 ya Dar to prove to you hakuna lamí in most spaces… dare me I make you look like a fool…🤣🤣🤣🤣
Naona unajichekesha tu kama malaya, twende battle ya nje ya DAR na Nairobi hata ukitaka mombasa vs musoma nakulaza chali
 
Wacha kujifanya unaijua luanda we kima.. baada ya kuwaumbua eti mko vizur sector ya real estate in sub Saharan Africa nyuma ya SA kwanza who told you kwamba kilamba City ni empty.? Apart from kilamba City . Kuna Talatona. Kuna zango
View attachment 2678828
Hii zango zipo kwa phases tofauti, nakuekea na zango 3 .
Hawana ishu washafeli huwa wanajifungia kwenye kajiji kanairobi nakujihisi wapo vizuri kumbe ni kujidanganya tu,

Hawana hoja kuhusu luanda achana nao,hawagusi pale
 
Meanwhile huko US vitu ni tofauti kabisa, US ni failed state kama ukunyani tu watoto wao 🤣🤣👇. mwaiofhawaii njoo uone vile babaanu anavyokua mfano wa kisenge duniani 🤣
 
but the truth is huko mitaa ya tz lami ni hadithi tu...99% dirt roads.The poles issue will be sorted by kplc and the contractor in due course....thats why mkiambiwa lami tz ni cbd tu na wageni mnaseme mnaonewa
Tabora ina mtandao mkubwa wa STANDARD paved streets kuliko mji wowote shakahola ukitoa Nairobi



Mtwara it's another story

 
Back
Top Bottom