Serikali inayopanga bei ya bidhaa badala ya kuachia market forces zi determine prices ni mufilisi kiutendaji.Hahahaha, badala ya unga kumshinda amegeukia bei ya simu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Serikali inayopanga bei ya bidhaa badala ya kuachia market forces zi determine prices ni mufilisi kiutendaji.Hahahaha, badala ya unga kumshinda amegeukia bei ya simu.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mwanza outside Nyamagana na Ilemela ni hamna kitu wilaya zilizobaki ghorofa ni kubahatishaNimeiona mkuu my hometown Tanga imeshika namba tatu.. Mbeya haipo kwenye list 🤣🤣.. but yo ukweli ni kwamba Arusha city center haiwezani kabisa na Mwanza city center.. Mwanza katikati ya jiji lao kuna gorofa nyingi and them streets are so clean, leo nilikua nazunguka Mwanza mjini mpaka nikahisi nipo DAR tu .. Mwanza imejemgwa asee.. inawezekana takwimu ni za mkoa mzima labda ndio mana mwanza imeachwa since wilaya za Mwanza ni vijiji tu ga magorofa
Very local, hawajaona parade la Yanga?Parade la Gor Mahia katikati ya Nairobi kusherehekea ubingwa wao.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Watoe tu mana hizo pesa hazipo mfukoni mwetu, tukisema wasitoe wanazipiga.Gharama za mradi wa 5Km kutoka pale Ubungo hadi kimara kupanua barabara kutoka njia 6 hadi 8 Tsh 71.48B
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nimewaza apo kutakua na tindua tundua nyingi ndio maana gharama ziko juu...Watoe tu mana hizo pesa hazipo mfukoni mwetu, tukisema wasitoe wanazipiga.
Yani zile njia 6 kutoka ubungo to mbezi zimezidiwa?Nimewaza apo kutakua na tindua tundua nyingi ndio maana gharama ziko juu...
BTW itakua vyema sana maana ni kama zile lanes za sasa zimezidiwa
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ubungo-kimaraYani zile njia 6 kutoka ubungo to mbezi zimezidiwa?
Sawa, Kwahiyo ile road imezidiwa?
Ndio maana yakeSawa, Kwahiyo ile road imezidiwa?
Basi sijafika huko mda mrefu, unajua lile barabara ni likubwa sana?
Pita jioni sikumoja uone kkBasi sijafika huko mda mrefu, unajua lile barabara ni likubwa sana?
Kama ile road haitoshi basi Tz kwa sasa iko mbali sn aiseee.Pita jioni sikumoja uone kk
Magari ni mengi sana sahvi aisee
Juzikati nilipita na baru langu nmejionea
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Ona sasa ukiaibika. Mtu akiandika kitu online, mbona nyie huchukulia ndo vile!?Oooo mara mobius! Mara fyoko! Kiko wapi sasa! Hao mobius wanakufa sasa!
Sama zina sura nzuri...badi tu nyang'au hizi ni hovyoView attachment 2674247
Fanya kama unakatiza siku1 jioniKama ile road haitoshi basi Tz kwa sasa iko mbali sn aiseee.