Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

My second home .. huu upande wa Mwanza huwa hauonyeshwagi kabisaView attachment 2674217View attachment 2674221hii hotel hapa naona kama ujenzi wake umerejea/ume resume.. picha nimepiga kutokea Mwaloni Kirumba.. View attachment 2674225the second most developed city along lake Victoria
Mwezi May nilikuwa Mwanza sikuona hata dalili ya hiyo Hotel kukamilishwa ila waikamilishe itakuwa nzuri sana..

Barabara ya Airport Iko busy sana na Ujenzi wa majengo sideways hasa ule mtaa wa Ghana
 
Kwa hiyo dar yote inapigwa BRT leo wanasaini mikataba including daraja la jangwani

Dar baada ya miaka minne miundombinu itakua hatari sana
Me nakwambiaje kuna vitu me mwenyewe nashangaa tayari vipo, Dar yamoto sana mkuu, BRT ishakuwa jambo la kawaida zitawekwa mpaka mitaani, tumshukuru sana Magufuli mana alitufumbua macho kwamba inawezekana. Two years from today hakutakuwa na ufanano tena baina ya Tz na nchi nyingine za EA, mm siku hizi nawafumua Wakenya kule twitter na you tube ninavyotaka na hakuna kitu wananifanya, soon tutaanza battle na SA mana hawa wanuka mavi hatuwezani.
 
Aliyekwambia kwamba Akina Shivji,Lisu,Lema,Slaaa ndio wanastahili kufikiria Kwa niamba ya Watanzania wote ni nani?

Kwenye hii angle ya Bandari wanazingua,hao ni Wajamaa sidhani kama Wana jipya tena Kwa umri wao..

Hofu ya mabadiliko, haiwezekani Serikali imesema interests za Watzn zimezingatiwa ila hao Wajamaa wao Kila kitu wanapinga..

Mambo yenye shaka watayaona kwenye utekelezaji, makubaliano sio mkataba Wala hauna msingi wa kisheria..
Mkuu mheshimu sana Distinguished Professor of Law in East Africa
 
Mkuu mheshimu sana Distinguished Professor of Law in East Africa
Dunia haijapata Maendelea Kwa sababu ya watu waliokariri mavitabu,mara nyingi they can't think outside ya hiyo scope Yao,uko wa challenge wanatumia ego Yao kudhani wako good kumbe wengi wao ni wajinga tuu..

Tunawaheshimu ila mda wao Kwa Sasa umepita,hatuwezi kutumia mawazo ya kijima kwenye modern World.
 
umeona sensa ya maghorofa?
Nimeiona mkuu my hometown Tanga imeshika namba tatu.. Mbeya haipo kwenye list 🤣🤣.. but yo ukweli ni kwamba Arusha city center haiwezani kabisa na Mwanza city center.. Mwanza katikati ya jiji lao kuna gorofa nyingi and them streets are so clean, leo nilikua nazunguka Mwanza mjini mpaka nikahisi nipo DAR tu .. Mwanza imejemgwa asee.. inawezekana takwimu ni za mkoa mzima labda ndio mana mwanza imeachwa since wilaya za Mwanza ni vijiji tu hazina magorofa
 
Back
Top Bottom