Massive indeed bado reli hapo na projects nyingine kama bagamoyo port, lng project etcThis project is massive
Massive indeed bado reli hapo na projects nyingine kama bagamoyo port, lng project etcThis project is massive
Issue ni we don't import old vehicles.Issue ni kua zipo au hazipo??😅😅😅
Just look at the top photo…🤣🤣🤣Dar best part ( downtown) ni size ya Westlands, walahi…The most iconic bridge in Dar es salaam city.. 1.03 km.. Wana tabia ya kusahau hawa View attachment 2669500View attachment 2669503..
Don't dare Bro, posta is several times bigger than your CBD. Sasa ndio uchanganye pamoja posta+Upanga+ Kariakoo 🤣🤣 Ni balaaJust look at the top photo…🤣🤣🤣Dar best part ( downtown) ni size ya Westlands, walahi…
Remember JP the M.This project is massive
Kwenye uchumi china ana apply sera zote mbili capitalism and socialism lakini mostly kwenye masuala ya provision of social services mchina huko anatumia ujamaa ndio mana public transportation systems karibu zote ni mali ya serikali, miradi mingi karibu kila sector ni mali ya serikali na ndio mana maisha ni mazuri zaidi kwa kila raia china kuliko US .. watu waliofika huko wanaeleza .. pitia hii Shenzhen metro system it has 300+ subway stations 👇. While capitalism+democracy pia ime prove failure big time. Check out huu mradi ume stuck for over 15 years in California 👇carlfonia high speed rail . Ambapo ni stori tofauti kabisa ukilinganisha na mtandao wa HSR wa china where socialism is applied kutoka 2008-2023 tu china kupitia socialism wameweza kujenga mtandao wa HSR than the rest of the world combined together 👇. Kupitia pia socialism China amefenya miradi kama china poverty elevation ambopo big number ya watu sahii wanaishi vizur tu . Hakuna homeless people in china Bro .. . Socialism impact
You see, you see this!? A new city forming right here. Don't pretend you don't want to see!!!Upuuzi upuuzi tu mwaka wa sita huu tupo humu kila siku mnapost vipicha hivi hivi tu wakati sisi tunapost mambo mapya, tukiwaambia tumewazidi mnalia.
Ubepari na unyonyaji, vinaendana.😁😁😁😁 Sasa Ukiwa maskini na ujamaa wako utawasaidiaje watu?
Ujamaa ni umaskini, ubepari ni hela inakupa chance ya kusaidia watu,kama unadhani na kudanganya nenda kagombee ubunge Kwa kutegemea mdomo uwe unaitwa sera na mwenzio awe anatoa mpunga harafu utaleta mrejesho..
Mkono mtupu haulambwi.
Huku huna cha kuitetea marekani mzee 🤣🤣 china ndio nchi yenye mtandao mkubwa wa barabara kuliko nchi yoyote duniani.. marekani ni taifa lililofeli usilotolee mifano kabisa kwenye maendeleo ya dunia ya leoChina is definitely modern… but let’s not forget America built their systems when Chinese were living in muddy villages…..if you study American politics you would know such massive public mass transit projects are held off by the energy lobby …. America is a Highway system nation ( best in the world)where private cars are the order of the day… it’s all about the oil business…too much oil dollars at stake… what’s the population of China versus the USA, yet America is the largest oil consumer on the planet…..expect this to change once Americans switch to electrical vehicles in a big way…
Narudia tena zipo barabarani au hazipo??😅Issue ni we don't import old vehicles.
Alll older cars were registered kitambo sana zikiwa Less than 8yrs at that time unlike hapo kwenu.
China population is 1.3b wacha kudanganyaThere are 1.5 billion people in China whereas the US population is about 340 million…. That’s 4 times more for China… yet the US consumes 20 million barrels of oil daily as opposed to 12 million for China….. that’s too much money at stake for American oil companies…. Every time a mass transit project is proposed in Congress, it dies in the committee stage…. Most States need federal dollars to pull such gazillion projects…ain’t happening any time soon…Welcome to lobby politics 101….
Na hio ndio westland 😅😅😅 jengeni sana yaaniAnd that view!? Nairobi
View attachment 2669911
Na hii ndio upperhill hahaha alooo jengeni sana yani namaanisha mujenge sana😅😅
Na china ndio nchi yenye mtandao mkubwa wa modern rail on planetHuku huna cha kuitetea marekani mzee 🤣🤣 china ndio nchi yenye mtandao mkubwa wa barabara kuliko nchi yoyote duniani.. marekani ni taifa lililofeli usilotolee mifano kabisa kwenye maendeleo ya dunia ya leo
US haina hela mzee .. sahii hata ukitaka ulinganishe chochote ukiachana na matumizi ya mafuta utakuta kitu US ipo mbele ya china ni military budget pekee. Hata hivyo namba kubwa ya kampuni za magari sahii china ni gari za umeme and that's the reason they are not that much in oil consumption.. Shenzhen leads the way 👇. Imagine mji wenye watu zaidi ya 13 millionThere are 1.5 billion people in China whereas the US population is about 340 million…. That’s 4 times more for China… yet the US consumes 20 million barrels of oil daily as opposed to 12 million for China….. that’s too much money at stake for American oil companies…. Every time a mass transit project is proposed in Congress, it dies in the committee stage…. Most States need federal dollars to pull such gazillion projects…ain’t happening any time soon…Welcome to lobby politics 101….