Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hatimaye pumba zimeanza kujitenga na mchele, hakika mafuta hayachanganyiki na maji, Tundu lissu na Rostam Aziz wamethibitisha kwamba Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli, Rostam anakuambia kama yeye angekuwa fisadi basi Magufuli asingekwenda kuzindua kiwanda chake kule Morogoro. Tundu lissu naye anakuambia Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo kwani tunajua fika hakupenda mali za nchi hii kushikwa na wageni.

Hao ni watu ambao walikuwa miongoni mwa maadui wa Magufuli lkn kwenye ukweli leo wameongea, sasa hawa wanuka mavi wa humu jamiiforums ni kina nani mpaka wabishe, msikilizeni Lissu hapa.

Wanuka mavi wa jamiiforums, kula chuma iyoooo


Maana yake halisi ni kuwa, Magufuli hakupenda wala rushwa wala kuchekea ufisadi, ndio maana Rostam kujisafisha lazima atumie Sabuni ya uhakika kwa usafi wa ufisadi, nayo ni Magufuli Soap.
 
Hatimaye pumba zimeanza kujitenga na mchele, hakika mafuta hayachanganyiki na maji, Tundu lissu na Rostam Aziz wamethibitisha kwamba Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli, Rostam anakuambia kama yeye angekuwa fisadi basi Magufuli asingekwenda kuzindua kiwanda chake kule Morogoro. Tundu lissu naye anakuambia Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo kwani tunajua fika hakupenda mali za nchi hii kushikwa na wageni.

Hao ni watu ambao walikuwa miongoni mwa maadui wa Magufuli lkn kwenye ukweli leo wameongea, sasa hawa wanuka mavi wa humu jamiiforums ni kina nani mpaka wabishe, msikilizeni Lissu hapa.

Wanuka mavi wa jamiiforums, kula chuma iyoooo
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png



Hakuna watu wananipa wakati mgumu kuwaelewa kama wanasiasa ni vinyonga kweli kweli ni watu wakubadilika rangi kutokana na maslahi but all in all Hayati Magufuli ndo rais pekee wa Tanzania niliyesimama na kwenda kumpigia kura na sikuishia hapo nilihamasisha watu wengine pia kufanya hivyo! Namshukuru Mama kwa kuendeleza miradi yote iliyoasisiwa na Rais wa awamu ya tano na awamu zote zilizopita! kuendesha nchi si jambo jepesi kunahitaji sayansi kubwa na kumtanguliza Mungu! Tanzania ni taifa teule labda kwa sababu ya faith tulionayo kwa aliyetuumba na kuifanya dunia ni sehemu salama ya kuishi kamwe Mwenyezi Mungu wetu hatotuacha tukaangamia!We have been favored a lot.
 
Hatimaye pumba zimeanza kujitenga na mchele, hakika mafuta hayachanganyiki na maji, Tundu lissu na Rostam Aziz wamethibitisha kwamba Magufuli alikuwa mzalendo wa kweli, Rostam anakuambia kama yeye angekuwa fisadi basi Magufuli asingekwenda kuzindua kiwanda chake kule Morogoro. Tundu lissu naye anakuambia Magufuli hahusiki na mikataba ya hovyo kwani tunajua fika hakupenda mali za nchi hii kushikwa na wageni.

Hao ni watu ambao walikuwa miongoni mwa maadui wa Magufuli lkn kwenye ukweli leo wameongea, sasa hawa wanuka mavi wa humu jamiiforums ni kina nani mpaka wabishe, msikilizeni Lissu hapa.

Wanuka mavi wa jamiiforums, kula chuma iyoooo

Ni kweli. Na plan za Magifuli pale Bandarini zilikua kubwa. Ndo maana alipigania sana kuwatia TICTS.

Ila ukweli ni kwamba hata yeye angekuwa hao bado tungefeli Tu! Mizizi ya ufisadi ni mirefu sana pale. Kila baada ya mwezi walikua wanaenda pale yeye na majaliwa je madudu yaliisha?? Akibadilisha mabosi TRA wangapi??

Nakupa mfano mmoja niliukuta pale enzi za magu, wale ma crane operator walikua wanaiba mafuta. Yale ma crane ya TPA yanchukua mafuta mengi sana. Jamaa anaweza kutua madumu ya 20L kama name hivi.
Huyo jamaa ana min salary 3Mil. Kila akipanda kwenye crane anakula allowance. Na hatakiwi kufanya kazi zaidi ya saa 6. Maana yake mwisho wa mwezi anaenda home na sio chini ya 4 mil.

Jiulize kwa nini bado anaiba mafuta na hela yote hiyo anapata!? Na hii ni enzi za Magifuli!!

Pale kuna madudu mengi mkuu.

Pale bora tukodushe Tu! Tukubaliane kama kila mwezi trilioni 5 tunataka, yeye mwenyewe atajua atapambana vipi.
 
Na ndio China iwe level ya US lazma kila kitu kiwe ×4 that of US because of larger population.
WAKO na safari ndefu sana bado.
Hukusoma uchumi wewe hujui kitu, Unajua kitu kinachoitwa PPP katika uchumi?, $1 in China is equivalent to $5 in USA.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom