Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tumewakomesha Wakunya,kamwe hamtaiona Chai yetu kwenye mnada wa Mombasa
View attachment 2670053

Ni kitu cha kupongezwa sana,vingi ninavyoviomba tuvifanye naona vinatekelezwa,atcl now inapiga route za naipori,mahindi kunyan wanunue kama foreigner imetiki,now kwenye kahawa na chai tunawapiga,siku yake naombe CRDB ienee kundustan yote,piga spana hawa mbwa za kutosha
 
Ni kitu cha kupongezwa sana,vingi ninavyoviomba tuvifanye naona vinatekelezwa,atcl now inapiga route za naipori,mahindi kunyan wanunue kama foreigner imetiki,now kwenye kahawa na chai tunawapiga,siku yake naombe CRDB ienee kundustan yote,piga spana hawa mbwa za kutosha
na wakiendelea na ukiritimba wao wa kuzuia makampuni ya tanzania kufanya biashara kenya itabidi tuanze kuzipiga pin kcb nk
 
Oh Watanzania sijui hawana sports yoyote wanayoweza mara sijui wanajua football tuu haya sasa we beat you in your own comfort zone(marathon)

 
Nani amewadanganya mnajua boli🤣🤣🤣
Hawa hapa 👇👇👇😅😅😅

20230627_131536.jpg
 
Back
Top Bottom