Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ubungo

IMG_8126.jpg
 
Hivi vitu ni zaidi ya upeo wako mzee! Kuna nchi jirani inaitwa Kunyaland tangu imepata Uhuru imejipambanua Capitalist! Ila ni maskini wa kutupwa! serikali yao haiwezi kulipa mishahara miaka 60 baada ya uhuru na inaugua ugonjwa wa njaa tangu Uhuru miaka nenda miaka rudi!
Ila mindset ya capitalism mbaya sana,yan utamkuta mkunya kachoka,mlo m1 kwa siku na analala kwenye slum ila bado anaamini nchi yake ni tajiri na watu wana maisha mazuri kuliko nchi jirani na kundustan
 
Mko mnajisifia jeshi lenu hapa ....


Jeshi linaloshindwa kulinda raia wake ndo litaweza hata kulinda mipaka yake....
KENYA IS THE FAILED STATEView attachment 2669606
Jana nimekutana na Mcongo nikamuuliza unaenda wapi akasema mm ni mkongo naishi Kivu kule tunapolindwa na jeshi lenu, nikamuuliza kiuchokozi huko pia askari wa Kenya si wapo? Akasema askari wa Kenya hamna kitu wanafanya kule ni ujanja ujanja tu na uhuni, nikacheka sana
 
Back
Top Bottom