babayao255
JF-Expert Member
- Apr 4, 2019
- 12,904
- 34,903
Sasa Ukiwa maskini na ujamaa wako utawasaidiaje watu?
Ujamaa ni umaskini, ubepari ni hela inakupa chance ya kusaidia watu,kama unadhani na kudanganya nenda kagombee ubunge Kwa kutegemea mdomo uwe unaitwa sera na mwenzio awe anatoa mpunga harafu utaleta mrejesho..
Mkono mtupu haulambwi.

