Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unajua tropical heat nini ama kutapa tapa?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hii hapa nikusaidie angalau
jaribu kufananisha na zile karanga za diamond zilizoungua kwa pakiti za Royco mchuzi mix
emoji23.png
emoji23.png

5.png
Tropical_Heat_potato_crisps.jpg
Urban-Bitez-Family-Pack-Compressed-580x580.jpg
6_1024x1024.png
chill_lemon.png
tropical%20heat.jpg

peanuts-chilli-lemon-flavour1.png
1b8a9e280152425fb3e98a5b2978a5e5.png
AvoHhz1CAAAgUNo.jpg
masala-coated-peanuts-536.jpg
8b20974280ebb9808a3c423fbfc72fa4392a6f3a.jpg
This is quality, alafu mtu anacompare na diamond karangas, hahaha hizo haziwezi make it here
 
wakati tunailaani serikali ya Tz kwa kuchoma kwa moto vifaranga vya kuku vinavyodaiwa kutoka kenya,huko laikipia kenya,jeshi polisi linalaumiwa kwa kuuwa kwa risasi takribani ngo'mbe mia tatu(300) toka katika jamii ya wamasai.

inadaiwa ng'ombe hao waliingia katika lunch inayomilikiwa na mtu binafsi na hukumu pekee iliyowafaa ni kuwachapa risasi ili wafe.

picha na screenshot hapa chini zinaelezea tukio hilo kwa upana zaidi.
4147946200e0da8470b10a04d7d935e2.jpg
867b1e56eef6fb5900f34c14b1d73d61.jpg
0013912767c7fbec0ea72fec1e9beb20.jpg
6d9f133937c5f30ee965768ae8bf36ef.jpg
e8d1e3f125e00f903390a51374cc53da.jpg
0bdb2de2464b6ca5747987ef3768b239.jpg
030928b64fde9f1f357d6ea16e4a39c7.jpg
b0b026b5d05eea5dafd899b2dc8fc3b5.jpg
559509c471aaf2481155f4454a3219db.jpg


NB:
ifahamike kuwa mapande makubwa ya ardhi huko kenya yanamilikiwa na matajiri wachache.

hali hiyo hupelekea wafugaji wa kimasai kukosa maeneo ya kurisha mifugo yao na hatimaye hurisha katika Ranchi za watu binafsi au huvuka boda na mifugo yao na kuingia tz upande wa namanga ambako marisho ya mifugo ni mengi na hayamilikiwi na watu binafsi.
Hio place shida ni ranchers. Kenyan whites wako na mashamba makubwa sana huko na wamekuwa in conflict na Wamasai na Wasamburu. Kuna wakati some white guy was killed na another rich woman, Kuki Gulliman shot. I guess these rich white ranchers ndio wanalipa polisi wauwe hao mifugo. Lakini this is political because some Maasai MP alikuwa ana incite Wamaasai waingie kwa mashamba ya wazungu hao forcefully and bringing tribal(racial) isht in the area. Those Maasai I guess want the whites gone but sioni those whites going anywhere coz most of them wameishi hapo for generations, guess late 1800 na early 1900s. But they own huge chunks of land which is not good to the locals. But as long as one has the Kenyan citizenship dont care the colour ama religion ama whatever hafai kuwa anaharrasiwa, this is the 21st century.
 
Hio place shida ni ranchers. Kenyan whites wako na mashamba makubwa sana huko na wamekuwa in conflict na Wamasai na Wasamburu. Kuna wakati some white guy was killed na another rich woman, Kuki Gulliman shot. I guess these rich white ranchers ndio wanalipa polisi wauwe hao mifugo. Lakini this is political because some Maasai MP alikuwa ana incite Wamaasai waingie kwa mashamba ya wazungu hao forcefully and bringing tribal(racial) isht in the area. Those Maasai I guess want the whites gone but sioni those whites going anywhere coz most of them wameishi hapo for generations, guess late 1800 na early 1900s. But they own huge chunks of land which is not good to the locals. But as long as one has the Kenyan citizenship dont care the colour ama religion ama whatever hafai kuwa anaharrasiwa, this is the 21st century.
I heard they said the the cows were shot in crossfire since the herders were using the cows as cover. I have a 2 questions
1. Herders are known to die for their herd but this one's chose to hide behind their herd could it be the police were trying butcher the herder instead.
2. Going by the crossfire story. Then Over 400 bullets fired and non hit the target! If its not a cover story then this people need target practice ASAP.
 
I heard they said the the cows were shot in crossfire since the herders were using the cows as cover. I have a 2 questions
1. Herders are known to die for their herd but this one's chose to hide behind their herd could it be the police were trying butcher the herder instead.
2. Going by the crossfire story. Then Over 400 bullets fired and non hit the target! If its not a cover story then this people need target practice ASAP.
there were no bullets used. the cows were killed by a concussion bomb.
 
Sijawai ona ikitrend
tangu juzi mpo hapa mkitoa povu kuhusu diamond karanga kupatikana kenya....the more you keep discussing about it the popular it become.
huko ndio ku-trend kwenyewe ninakomainisha.

diamond karanga tibim(in babu uwino voice)
 
Hio place shida ni ranchers. Kenyan whites wako na mashamba makubwa sana huko na wamekuwa in conflict na Wamasai na Wasamburu. Kuna wakati some white guy was killed na another rich woman, Kuki Gulliman shot. I guess these rich white ranchers ndio wanalipa polisi wauwe hao mifugo. Lakini this is political because some Maasai MP alikuwa ana incite Wamaasai waingie kwa mashamba ya wazungu hao forcefully and bringing tribal(racial) isht in the area. Those Maasai I guess want the whites gone but sioni those whites going anywhere coz most of them wameishi hapo for generations, guess late 1800 na early 1900s. But they own huge chunks of land which is not good to the locals. But as long as one has the Kenyan citizenship dont care the colour ama religion ama whatever hafai kuwa anaharrasiwa, this is the 21st century.
asante kwa ufananuzi maridhawa.
 
tangu juzi mpo hapa mkitoa povu kuhusu diamond karanga kupatikana kenya....the more you keep discussing about it the popular it become.
huko ndio ku-trend kwenyewe ninakomainisha.

diamond karanga tibim(in babu uwino voice)
Ikitrend wapi??? Izo cheap PR zinakuvako...
 
Hio ndio julius nyerere internationa airport terminal 3 under construction very soon itakamilika😀😀😀😀 unataka kuona ujenzi ulipofkia????
mwekee na picha za mkandarasi akiwa site....tz ya sasa chini ya JPM sio ya watu wa porojo....awamu ya porojo aliondoka nayo kikwete.
 
Back
Top Bottom