Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ni kweli,hilo hata mimi nalifahamu na tayari nilishaligusia katika post yangu moja ya awali.

ila kuna kitu kina click katika kichwa changu...mimi ni mtu ambaye akili yangu huwa inafanya calculation za haraka sana katika kung'amua mambo.

katika agenda ya ushoga,wazungu wanatumia nguvu kubwa sana katika kuziaminisha jamii za kiafrika kuwa ushoga si tatizo.

kumbuka kuwa jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikimchukulia mnyama simba kama alama ya ujasiri,ushupavu na nguvu.

nina mashaka kwamba habari za simba shoga wa kenya ipo katika mpango wao wa siri wa kuzishawishi jamii za kiafrika ziamini kuwa ushoga ni jambo la kawaida.
simba awe shoga asiwe shoga bado anaua....ujasiri wa simba hatutikisiki kwa sababu ya sexual preferences zake...bado atamwua pundamilia akimtamani ama akiwa na njaa...haya yule simba shoga basi kamchukue ukae naye kwako awe pet basi uone kama hatakumaliza asubuhi...
 
ni kweli,hilo hata mimi nalifahamu na tayari nilishaligusia katika post yangu moja ya awali.

ila kuna kitu kina click katika kichwa changu...mimi ni mtu ambaye akili yangu huwa inafanya calculation za haraka sana katika kung'amua mambo.

katika agenda ya ushoga,wazungu wanatumia nguvu kubwa sana katika kuziaminisha jamii za kiafrika kuwa ushoga si tatizo.

kumbuka kuwa jamii nyingi za kiafrika zimekuwa zikimchukulia mnyama simba kama alama ya ujasiri,ushupavu na nguvu.

nina mashaka kwamba habari za simba shoga wa kenya ipo katika mpango wao wa siri wa kuzishawishi jamii za kiafrika ziamini kuwa ushoga ni jambo la kawaida.
Achana na mashoga, kuna simba jike huwaga wana hayo manyoya.
 
simba awe shoga asiwe shoga bado anaua....ujasiri wa simba hatutikisiki kwa sababu ya sexual preferences zake...bado atamwua pundamilia akimtamani ama akiwa na njaa...haya yule simba shoga basi kamchukue ukae naye kwako awe pet basi uone kama atakumaliza asubuhi...
hongera zenu kwa kupata mnyama adimu....simba shoga.
 
hongera zenu kwa kupata mnyama adimu....simba shoga.
wewe unajifurahisha na mwenzako...mwache naye pia ajifurahishe na mwenzake...ni jambo la kusikitisha sana kuwaona mashoga ila we respect the lion's sexual preferences..😀😀.we dont judge him...ndio maana bado wapo hai...hawajauawa
 
wewe unajifurahisha na mwenzako...mwache naye pia ajifurahishe na mwenzake...ni jambo la kusikitisha sana kuwaona mashoga ila we respect the lion's sexual preferences..😀😀.we dont judge him...ndio maana bado wapo hai...hawajauawa
d3300f097da3b1e4225881e5a3abcce4.jpg
e563e87d817e7172d65cabe2152d4228.jpg
 
Haijakuacha salama, I bet ushazitafuta ili uonje


njugu iko dukani kwa wingi na pia ushago sehemu za oyugis na homabay tunalima njugu kwa wingi.I prefer it in peanut butter form....ama ushago kwa kijaluo we make groundnut paste and mix it with milk then boil ikiendana na viazi vitamu.....nikiwa ushago mimi hufurahia chakula hicho sana
 
njugu iko dukani kwa wingi na pia ushago sehemu za oyugis na homabay tunalima njugu kwa wingi.I prefer it in peanut butter form....ama ushago kwa kijaluo we make groundnut paste and mix it with milk then boil ikiendana na viazi vitamu.....nikiwa ushago mimi hufurahia chakula hicho sana
Then utaila bila kwenda huko ushago, Diamond has made it ready for u guys! enjoy urselves!
 
it's always the strong nation that knows a lot of things about the weak nation.

for example USA knows a lot of things about north korea.

if you follow this formula, you will know why tanzania knows kenya inside out.
You've reasoned in sukuma my friend.
 
Back
Top Bottom