Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


angekuwa kikwete,angetumia siku chache za mapumziko kwenda kuzurula europe.
8105975a6635c60e3ff10eb50b25f07a.jpg
3c78b2d4549f09c0d6979ed846e36daa.jpg
403ccf12f7ca55c66b394509733c6f77.jpg
797ea703fe32525dd529c6e0e29fff99.jpg
5348fc2a515f590ba9fcb5ec354b3bfe.jpg
473ec23ead250780aa34ea76be146b01.jpg
i like this guy magufuli...no homo...down to earth guy
 
Ofcourse i am, nashangaa why you lie eti unamjua Magufuli pekee.
Mkenya yeyote aliejiunga na JF yupo interested na Tz.
Najua magufuli pekee ata vice president sijui...jf nliingia juu iko na Kenyan news...am not interested in tz
 
2004 Toyota Harrier For Sale in DarEsSalaam

Price: TZS 16,500,000

2013 Registration • Good condition • all duties paid • 103,925 km done • Station Wagon • 2AZ Engine Code • 2,360cc • Petrol • Auto transmission • 4 Wheel Drive • Right Steering • 5 Seats • 5 Doors • Accident Free • neither Mechanical nor Technical Issues

NB:
- Haina rekodi ya ajali
- Haijaguswa kiufundi
- Bodi haina michubuko

Mawasiliano: +255786157788
19e670c211d6b039ba2b573a61981107.jpg
 
you can't evade it cos i have mastered the art of influencing all discussion topic here....



hiyo ndio Kenya tunaita kujichocha. ... .. .....hebu cheza chini na uniitie rafiki yangu chokoraa Lusematic aje hapa....
 
wakati tunailaani serikali ya Tz kwa kuchoma kwa moto vifaranga vya kuku vinavyodaiwa kutoka kenya,huko laikipia kenya,jeshi polisi linalaumiwa kwa kuuwa kwa risasi takribani ngo'mbe mia tatu(300) toka katika jamii ya wamasai.

inadaiwa ng'ombe hao waliingia katika lunch inayomilikiwa na mtu binafsi na hukumu pekee iliyowafaa ni kuwachapa risasi ili wafe.

picha na screenshot hapa chini zinaelezea tukio hilo kwa upana zaidi.
4147946200e0da8470b10a04d7d935e2.jpg
867b1e56eef6fb5900f34c14b1d73d61.jpg
0013912767c7fbec0ea72fec1e9beb20.jpg
6d9f133937c5f30ee965768ae8bf36ef.jpg
e8d1e3f125e00f903390a51374cc53da.jpg
0bdb2de2464b6ca5747987ef3768b239.jpg
030928b64fde9f1f357d6ea16e4a39c7.jpg
b0b026b5d05eea5dafd899b2dc8fc3b5.jpg
559509c471aaf2481155f4454a3219db.jpg


NB:
ifahamike kuwa mapande makubwa ya ardhi huko kenya yanamilikiwa na matajiri wachache.

hali hiyo hupelekea wafugaji wa kimasai kukosa maeneo ya kurisha mifugo yao na hatimaye hurisha katika Ranchi za watu binafsi au huvuka boda na mifugo yao na kuingia tz upande wa namanga ambako marisho ya mifugo ni mengi na hayamilikiwi na watu binafsi.
Hao wafugaji waliua mumiliki wa hilo bunga,sasa ilitalaji nini kutoka kwa polisi?
 
Hao wafugaji waliua mumiliki wa hilo bunga,sasa ilitalaji nini kutoka kwa polisi?



sasa what did 400 cows do to warrant such cruelty. ....when Kenya police messes up we should not call grey...black.
 
Najua magufuli pekee ata vice president sijui...jf nliingia juu iko na Kenyan news...am not interested in tz
Jamaa unadanganya live, you think am a fool. Kikwete humjui?
Kenyan news and forums zipo kibao huko internet, kuna JamiiForums.com etc. Ungekwenda huko kupata Kenya news.
You're so much interested in Tz, why? Because you chose JF.
Wouldnt care less about your interests though, because you're nothing.
Lakini ukidanganya, sitakuacha.
 
Ofcourse i am, nashangaa why you lie eti unamjua Magufuli pekee.
Mkenya yeyote aliejiunga na JF yupo interested na Tz.


huwa napitia ITV Tanzania..EATV....mwananchi . .jamii forum na kusoma comments za watanzania katika mambo ya nchi yao
 
In Tanzania I only know magufuli,this guys can name all Kenyan governors, MPs,senators,women rep some MCA's...they know Kenya even more than some of us

Hauoni kama ww ni mpuuzi/pambafu kubwa
mtanzania kujua viongozi wenu zaidi yenu na huoni haya
kenge weee
 
huwa napitia ITV Tanzania..EATV....mwananchi . .jamii forum na kusoma comments za watanzania katika mambo ya nchi yao

safi sana...mimi pia huwa nafatilia almost media zote za kenya mpaka blog zenu.huwa inanisaidia sana ninapo argue na wakenya cos nakuwa tayari nina information za kutosha kuhusu kile ninacho kitetea.


wajuzi wa mambo wanakwanbia knowledge is power.

taifa lolote duniani linapotaka kuvamia taifa lingine na kulitawala kijeshi au kiuchumi lazima liwe na taarifa za kutosha kuhusu taifa hilo.
 
Back
Top Bottom