Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kusema hawatonunua haimaanishi kuwa hakuna hata pakiti moja ya njugu zilizoungua nchini...we vipi? 😀😀😀😀zipo ila chache...we eat tropical heat peanuts not njugu zilizokaaangwa kwa kuni na makaa pale Tandale..😀😀.go search on Google
Heeeee kaa utulie sindano ya LDC iingie pahala pake!!!!!


Eti you eat tropical
 
Kwanza kabla ya yote mtuambie whats hapenin nw in kenya?
 
Heeeee kaa utulie sindano ya LDC iingie pahala pake!!!!!


Eti you eat tropical
unajua tropical heat nini ama kutapa tapa?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hii hapa nikusaidie angalau
jaribu kufananisha na zile karanga za diamond zilizoungua kwa pakiti za Royco mchuzi mix
emoji23.png
emoji23.png

5.png
Tropical_Heat_potato_crisps.jpg
Urban-Bitez-Family-Pack-Compressed-580x580.jpg
6_1024x1024.png
chill_lemon.png
tropical%20heat.jpg

peanuts-chilli-lemon-flavour1.png
1b8a9e280152425fb3e98a5b2978a5e5.png
AvoHhz1CAAAgUNo.jpg
masala-coated-peanuts-536.jpg
8b20974280ebb9808a3c423fbfc72fa4392a6f3a.jpg
 
reading stupid comments from Tanzania while sipping my pulpy orange minute maid juice...............ati chibu what zinauzwa Kenya hahaha. Hizo vitu sijawahi ziona Kenya. ....ama wenye duka hao waliopigwa picha wamezipatia kuku
 
wakati tunailaani serikali ya Tz kwa kuchoma kwa moto vifaranga vya kuku vinavyodaiwa kutoka kenya,huko laikipia kenya,jeshi polisi linalaumiwa kwa kuuwa kwa risasi takribani ngo'mbe mia tatu(300) toka katika jamii ya wamasai.

inadaiwa ng'ombe hao waliingia katika lunch inayomilikiwa na mtu binafsi na hukumu pekee iliyowafaa ni kuwachapa risasi ili wafe.

picha na screenshot hapa chini zinaelezea tukio hilo kwa upana zaidi.
4147946200e0da8470b10a04d7d935e2.jpg
867b1e56eef6fb5900f34c14b1d73d61.jpg
0013912767c7fbec0ea72fec1e9beb20.jpg
6d9f133937c5f30ee965768ae8bf36ef.jpg
e8d1e3f125e00f903390a51374cc53da.jpg
0bdb2de2464b6ca5747987ef3768b239.jpg
030928b64fde9f1f357d6ea16e4a39c7.jpg
b0b026b5d05eea5dafd899b2dc8fc3b5.jpg
559509c471aaf2481155f4454a3219db.jpg


NB:
ifahamike kuwa mapande makubwa ya ardhi huko kenya yanamilikiwa na matajiri wachache.

hali hiyo hupelekea wafugaji wa kimasai kukosa maeneo ya kurisha mifugo yao na hatimaye hurisha katika Ranchi za watu binafsi au huvuka boda na mifugo yao na kuingia tz upande wa namanga ambako marisho ya mifugo ni mengi na hayamilikiwi na watu binafsi.
 
unajua tropical heat nini ama kutapa tapa?
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
hii hapa nikusaidie angalau
jaribu kufananisha na zile karanga za diamond zilizoungua kwa pakiti za Royco mchuzi mix
emoji23.png
emoji23.png

5.png
Tropical_Heat_potato_crisps.jpg
Urban-Bitez-Family-Pack-Compressed-580x580.jpg
6_1024x1024.png
chill_lemon.png
tropical%20heat.jpg

peanuts-chilli-lemon-flavour1.png
1b8a9e280152425fb3e98a5b2978a5e5.png
AvoHhz1CAAAgUNo.jpg
masala-coated-peanuts-536.jpg
8b20974280ebb9808a3c423fbfc72fa4392a6f3a.jpg



Kwanza urban bites my niece and nephew love them so much. if I go visiting without them I risk being turned back at the door. ...hahaha. Hizo bidhaa za diamond hata sidhani kama zitaruhusiwa supermarket za Kenya na hiyo quality yao ya chini.Tanzania has never wanted Kenya to grow but we outshine them by far anyway. ....and now bidhaa zao tutashoot down vile wanavyofanyia Kenya. Lapsett iishe haraka tuchangamkie Ethiopia and South Sudan markets which are more promising
 
wakati tunailaani serikali ya Tz kwa kuchoma kwa moto vifaranga vya kuku vinavyodaiwa kutoka kenya,huko laikipia kenya,jeshi polisi linalaumiwa kwa kuuwa kwa risasi takribani ngo'mbe mia tatu(300) toka katika jamii ya wamasai.

inadaiwa ng'ombe hao waliingia katika lunch inayomilikiwa na mtu binafsi na hukumu pekee iliyowafaa ni kuwachapa risasi ili wafe.

picha na screenshot hapa chini zinaelezea tukio hilo kwa upana zaidi.
4147946200e0da8470b10a04d7d935e2.jpg
867b1e56eef6fb5900f34c14b1d73d61.jpg
0013912767c7fbec0ea72fec1e9beb20.jpg
6d9f133937c5f30ee965768ae8bf36ef.jpg
e8d1e3f125e00f903390a51374cc53da.jpg
0bdb2de2464b6ca5747987ef3768b239.jpg
030928b64fde9f1f357d6ea16e4a39c7.jpg
b0b026b5d05eea5dafd899b2dc8fc3b5.jpg
559509c471aaf2481155f4454a3219db.jpg


NB:
ifahamike kuwa mapande makubwa ya ardhi huko kenya yanamilikiwa na matajiri wachache.

hali hiyo hupelekea wafugaji wa kimasai kukosa maeneo ya kurisha mifugo yao na hatimaye hurisha katika Ranchi za watu binafsi au huvuka boda na mifugo yao na kuingia tz upande wa namanga ambako marisho ya mifugo ni mengi na hayamilikiwi na watu binafsi.
oH God this is sooo wrong...whats wrong with thise police?
 
Kwanza urban bites my niece and nephew love them so much. if I go visiting without them I risk being turned back at the door. ...hahaha. Hizo bidhaa za diamond hata sidhani kama zitaruhusiwa supermarket za Kenya na hiyo quality yao ya chini.Tanzania has never wanted Kenya to grow but we outshine them by far anyway. ....and now bidhaa zao tutashoot down vile wanavyofanyia Kenya. Lapsett iishe haraka tuchangamkie Ethiopia and South Sudan markets which are more promising
kwanza Ethiopia ...100 million plus people...enyewe lapsett could be a game changer for this economy
 
tuwaulizeni nyinyi maana tukio limetokea "kwenyu".
noo that is so bad...animals must not be killed like this...sikubaliani hata kidogo na hili...nilidhani ile ya vifaranga ilikua mbaya...now this is worse...mnyama mwue tu ndio umle...sio kwa sababu ya upuuzi
 
meanwhile..
768f9dd55c66bf9007d5dc44edd0a057.jpg

asante mungu kwa kutuepushia laana,Hili tukio halijatokea Tanzania...lingetokea katika Ardhi yetu,wakenya wange tu-bully sana.

wakenya hongereni kwa kupata Simba shoga.

 
wakati tunailaani serikali ya Tz kwa kuchoma kwa moto vifaranga vya kuku vinavyodaiwa kutoka kenya,huko laikipia kenya,jeshi polisi linalaumiwa kwa kuuwa kwa risasi takribani ngo'mbe mia tatu(300) toka katika jamii ya wamasai.

inadaiwa ng'ombe hao waliingia katika lunch inayomilikiwa na mtu binafsi na hukumu pekee iliyowafaa ni kuwachapa risasi ili wafe.

picha na screenshot hapa chini zinaelezea tukio hilo kwa upana zaidi.
4147946200e0da8470b10a04d7d935e2.jpg
867b1e56eef6fb5900f34c14b1d73d61.jpg
0013912767c7fbec0ea72fec1e9beb20.jpg
6d9f133937c5f30ee965768ae8bf36ef.jpg
e8d1e3f125e00f903390a51374cc53da.jpg
0bdb2de2464b6ca5747987ef3768b239.jpg
030928b64fde9f1f357d6ea16e4a39c7.jpg
b0b026b5d05eea5dafd899b2dc8fc3b5.jpg
559509c471aaf2481155f4454a3219db.jpg


NB:
ifahamike kuwa mapande makubwa ya ardhi huko kenya yanamilikiwa na matajiri wachache.

hali hiyo hupelekea wafugaji wa kimasai kukosa maeneo ya kurisha mifugo yao na hatimaye hurisha katika Ranchi za watu binafsi au huvuka boda na mifugo yao na kuingia tz upande wa namanga ambako marisho ya mifugo ni mengi na hayamilikiwi na watu binafsi.
Uchumi wa nchi umeshikwa na wawekezaji
 
meanwhile..
768f9dd55c66bf9007d5dc44edd0a057.jpg

asante mungu kwa kutuepushia laana,Hili tukio halijatokea Tanzania...lingetokea katika Ardhi yetu,wakenya wange tu-bully sana.

wakenya hongereni kwa kupata Simba shoga.

Wamepata simba choko na siku zote choko hana dhamana😀😀😀😀😀😀
 
Wamepata simba choko na siku zote choko hana dhamana😀😀😀😀😀😀

nimefurahi sana hilo tukio limetokea kwao....pia nimependa vile BBC walivyo amua kulipa kipaombele kwenye pages zao.

ila nahisi hii inaweza ikatumika kama stepping stone yao ya kuvutia watalii.wazungu wengi ni mashoga na ushoga sio issue kwao,wakisikia kuwa kuna Simba shoga nchini kenya,wengi watamiminika kuja kushangaa....wakenya tumieni fursa hiyo.
 
Back
Top Bottom