Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


b6ac2c44d7f72ecca31749ee9b43a6ce.jpg
36abe9fcd87d73f38ea3ff394f14393d.jpg
31fff1905fd31f81a9be83478d84b734.jpg
e38abac763776fa82dd1c7421eda94b0.jpg
7eeae9e851c6fbe1965d5b1f958a93fa.jpg
316950a9001dbe18b594604b8fc721f7.jpg
e2c4df62539facc3a9df34c46b120a5b.jpg
c00761a292fac85a1183f09db9be6bb9.jpg
ecaf0c5bd372f6648fe3a5705c04ff85.jpg
ce8c81aedca7c3c49426aef8b032c36f.jpg
9d85f570283db6a9fc6fe9be0145321e.jpg
bf8d335f836069b833304492d48df34b.jpg
b1a6cd096a02c16bc96bfa161e22c24d.jpg




hiyo picha ya second last si ya Kenya. .....
 
ni kweli na si uongo....tunafatilia sana issues za kenya kwasababu tupo katika mission ya kukatawala hako kanchi
kiuchumi,kisiasa na kijamii.



nchi LDC yenye uchumi mdogo kama wenu utatawala mighty Kenya kivipi ......hahaha. Wewe enda Churchill show auditions
 
Hio place shida ni ranchers. Kenyan whites wako na mashamba makubwa sana huko na wamekuwa in conflict na Wamasai na Wasamburu. Kuna wakati some white guy was killed na another rich woman, Kuki Gulliman shot. I guess these rich white ranchers ndio wanalipa polisi wauwe hao mifugo. Lakini this is political because some Maasai MP alikuwa ana incite Wamaasai waingie kwa mashamba ya wazungu hao forcefully and bringing tribal(racial) isht in the area. Those Maasai I guess want the whites gone but sioni those whites going anywhere coz most of them wameishi hapo for generations, guess late 1800 na early 1900s. But they own huge chunks of land which is not good to the locals. But as long as one has the Kenyan citizenship dont care the colour ama religion ama whatever hafai kuwa anaharrasiwa, this is the 21st century.
Hii ni mbaya buda, ndio shida inatokea SA. Hata wale kule walikuwa kwa ile land since 1800. That is inequality, Indeginious wamezaliana hawatoshei, sasa wanakutana na ma foreign settlers wana big chunks of land, lazima kinuke
 
I wish pokot wangekuwa wanaishi hapo border. ....halafu muibe mifugo yao. we would be talking of revenge attacks in thousands in northern Tanzania. .....hata polisi wenu hawangeweza
Em kula karanga huko Bill juu yangu sababu una njaa sana Hahaha jirambe babu wewe Punguza povu
 
my friend pokots are bad news......they rival the toposas of Ethiopia and south Sudan. each one of them owns a rifle.......
You think all men are harshly bitten by their wives like all of Kenyan men, we will make them toys
 
my friend pokots are bad news......they rival the toposas of Ethiopia and south Sudan. each one of them owns a rifle.......

hivi wewe unawajua wakurya au unawasikia?...achana kabisa na watu wa jamii ya kikurya...majority of them are born warriors,boldness and braveness is in their blood.
mmasai na jeuri yake yote kwa mkurya anakunja mkia.

kutokana na ujasiri wao wa kiasili,wengi wao,baada ya uhuru wa tz,walipewa fursa ya kujiunga na tpdf(tanzania people's defence force).

utamaduni huo umekuwa ukiendelea mpaka sasa.wakurya wengi wanapenda kulitumikia jeshi na wengi wanaingia jeshini kutokana na asili yao ya kupenda vita.

jaribu kufatilia visa vya ugomvi wa kiasili kati ya wakurya na wamasai huko manyara tz,utajua nazungumzia nini.mkurya ni mtu wa vita.
"vita ni vita mura".

the cousins to kuryas for kenya are kisii.wale wa kisii wa nyamache.hata lugha zao zinafanana....mkurya wa tz na mkisii wa nyamache.
 
hivi wewe unawajua wakurya au unawasikia?...achana kabisa na watu wa jamii ya kikurya...majority of them are born warriors,boldness and braveness is in their blood.
mmasai na jeuri yake yote kwa mkurya anakunja mkia.

kutokana na ujasiri wao wa kiasili,wengi wao,baada ya uhuru wa tz,walipewa fursa ya kujiunga na tpdf(tanzania people's defence force).

utamaduni huo umekuwa ukiendelea mpaka sasa.wakurya wengi wanapenda kulitumikia jeshi na wengi wanaingia jeshini kutokana na asili yao ya kupenda vita.

jaribu kufatilia visa vya ugomvi wa kiasili kati ya wakurya na wamasai huko manyara tz,utajua nazungumzia nini.mkurya ni mtu wa vita.
"vita ni vita mura".

the cousins to kuryas for kenya are kisii.wale wa kisii wa nyamache.hata lugha zao zinafanana....mkurya wa tz na mkisii wa nyamache.
So mkuria na mkisii wakiongea wanaelewana kabisa?
 
Back
Top Bottom