chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Shakahola wanataka kuexport cheap peasants sababu hawana material things za kuexport washindane na Tanzania 😅😅😅Tuna export two times ya tunacho import thus y maisha huku kwetu ni mepesi sn.
Shakahola wanataka kuexport cheap peasants sababu hawana material things za kuexport washindane na Tanzania 😅😅😅Tuna export two times ya tunacho import thus y maisha huku kwetu ni mepesi sn.
these things tanzanians call cities honestly....smhHii tanga
Ilikua ni export au in transit? 😅😅😅😅We exported goods worth $824m in uganda alone
![]()
TRT Afrika - Africa is Kenya’s main export market, survey shows
Africa accounts for 40 per cent of Kenya’s total exports, with Uganda being the nation’s most lucrative market, a recent survey shows.www.trtafrika.com
Jamaa wana wivu sana,walijua kufa kwa magufuli itakua nafuu kwao kumbe ni tofauti na roho zao mbayaHayo mengine mtajua wenyewe, sisi tunawapiga na miradi mipya tofauti tofauti alafu tunaachana nayo tunakuja na mingine, gumzo litabaki kwenu. Juzi state house mkalia weee leo station pia mtalia sana, kesho tunakuja na nyingine, mkija kustuka Tz ni USA ndogo![]()
Huyo jamaa amechanganyikiwa, alisema wasikubali kudhalilishwa, lakini yeye Kila siku Yuko hukohuko kwao.Huyu jamaa si alisema nchi za Africa ziache kutumia dollar?
We ng'ombe
Wakunya tunakichafua Kila Kona ya Nchi Kwa Sasa Kwa miradi kedekede
Kondoo wewe 😅😅😅😅 ndio maana munakufa njaa kwa akili za kiwendawazimuPale St Andrew's Turi visiting dayView attachment 2665699
Wakenya, mchele Super toka Kyela kwa buku jero tu kwa kilo, changamkeni
Ila Kitulo ni Ranch ya Serikali chini ya Narco.Hizo barabara zinazopita mufindi,Iringa vijijini, mqkete na maeneo ya huko,serikali ingeziongezea bajeti kiasi ili zitumike kwenye utalii pia.Unajua hayo maeneo yana mvuto sana,
Huko kuna mashamba ya chai,miti, pareto,n.k. Kama wangeongeza madoido kidogo kwenye kujenga barabara,alafu watendaji wa kata wangepewa mwongozo wa kupima mashamba na makazi ili yalete muonekano wa kiuswisi uswisi,basi hio zone kungefumuka bonge la utalii wa kimandhari.
Fikiria mtu anakatiza toķa Iringa unapita vijijini unashuka hadi unatokea makete mpaka kitulo.ukitaka unaendelea hadi mbambabay.
View attachment 2665716
Mimi sijashauri iharibiwe hio ranchi.Ila Kitulo ni Ranch ya Serikali chini ya Narco.
Kuna Barabara saizi imeanza kujengwa ya Makete-Kitulo-Mbeya , mkandarasi Yuko site.Mimi sijashauri iharibiwe hio ranchi.
Nasema barabara ijengwe bora zaidi. Wananchi wasimamiwe kwenye uienzi wa makazi,mashamba yaboreshwe labda kwa kuelimisha wananchi namna ya kuendesha kilimo na ufugaji bila kuharibu mvuto wa hayo maeneo.Mfano chai ikalimwa pembezoni mwa barabara na miti ikawa ndani,au miti itakayopandwa jirani na barabara ikawa ya aina fulani ya kuvutia
Magufuli kuna mbegu amepanda ambayo itamea wakati ujao, hawa viongozi wa sasa tuwaache lkn kuna mwamba ataibuka from no where kama Magufuli alivyoibuka from no where kumpigania Nyerere, ndivyo atakavyoinuka mwamba fulani kumpigania Magu.Jamaa wana wivu sana,walijua kufa kwa magufuli itakua nafuu kwao kumbe ni tofauti na roho zao mbaya
Rwanda ndio huwaambii kitu kuhusu mchele wa TanzaniaZambia ni maarufu sana kama Nakonde (Zambia Tanzania boarder town) rice na ndio premium rice huko Zambia
www.chronicles.rw
Hata aibu huoni wewe nyang’au?Pale St Andrew's Turi visiting dayView attachment 2665699