joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Kwani hawa Wabongo Ushamba au nini!? Hii kitu for real!? Hii!?? Nashindwa kuelewa. Ama ni vile wameweka hizi cosmetic cartons!?Mahali dar ilishindwa hii downgrade ndo itaweza🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2665485
Wakue serious bana🤣🤣🤣🤣Kwani hawa Wabongo Ushamba au nini!? Hii kitu for real!? Hii!?? Nashindwa kuelewa. Ama ni vile wameweka hizi cosmetic cartons!?
Watanzania, hebu fafanua, nini mnashobokea kwa hii Station. Si kwa wivu lakini bana hata nyie kuweni serious!!!
Hii hapaKwani hawa Wabongo Ushamba au nini!? Hii kitu for real!? Hii!?? Nashindwa kuelewa. Ama ni vile wameweka hizi cosmetic cartons!?
Watanzania, hebu fafanua, nini mnashobokea kwa hii Station. Si kwa wivu lakini bana hata nyie kuweni serious!!!






Hayo mengine mtajua wenyewe, sisi tunawapiga na miradi mipya tofauti tofauti alafu tunaachana nayo tunakuja na mingine, gumzo litabaki kwenu. Juzi state house mkalia weee leo station pia mtalia sana, kesho tunakuja na nyingine, mkija kustuka Tz ni USA ndogoWakue serious bana![]()






Hivi Geza, budget ya Zanzibar ni kiasi gani, na huwa inaunganishwa na budget ya bara??70% ya Budget 2023-2024 huko Kenya inaenda kulipa madeni!
hapana ipo tofauti! haihusiani na ya GoT!Hivi Geza, budget ya Zanzibar ni kiasi gani, na huwa inaunganishwa na budget ya bara??
Kama kwenu zingekuwepo station za treni ya umeme kama hizi mngelikuwa na haki ya kutuita washamba, ila kwenu hakuna na hamna ndoto za kuwa nazo, so shut up your dirty mouth.Kwani hawa Wabongo Ushamba au nini!? Hii kitu for real!? Hii!?? Nashindwa kuelewa. Ama ni vile wameweka hizi cosmetic cartons!?
Watanzania, hebu fafanua, nini mnashobokea kwa hii Station. Si kwa wivu lakini bana hata nyie kuweni serious!!!
Kumbe, thanks.hapana ipo tofauti! haihusiani na ya GoT!
![]()
Zanzibar unveils Sh2.8 trillion budget as GBS doubles to 9 percent
Zanzibar’s General Budget Support (GBS) from the Union Government has increased from 4.5 percent to nine percent following negotiations between both sides of the unionwww.thecitizen.co.tz
Tunaomba utuonyeshe biashara ya Kenya ndani ya EAC tulinganishe
Tuna export two times ya tunacho import thus y maisha huku kwetu ni mepesi sn.Tunapiga miguu yote
We exported goods worth $824m in uganda aloneTunaomba utuonyeshe biashara ya Kenya ndani ya EAC tulinganishe