Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Sema ushamba wa Baba levo…..😅Mawazo ya Baba Levo ni ya kwake yeye
Sisi hayatuhusu
Sema ushamba wa Baba levo…..😅Mawazo ya Baba Levo ni ya kwake yeye
Sisi hayatuhusu
Haya ndio mambo tunayowaambia hawa nyangau humu ndani Kenya needs to set its priorities right sio kurukia vitu kisa eti ku catch up na baba lao Tz.
Tazameni night club zao sawa 😅😅😅
Kenyan economy USD 107bn minus USD 80bn madeni. Uchumi halisi wa Kenya haufiki hata USD 30bn simple mathematics sasa sijui unaongelea uchumi gani hapa.Ukitoa economy ya Kenya hapa East Africa ni magofu tu zinabaki
Last time nimesikia Kenya wanapewa Soksi……😂😂Kiatu cha mfungaji bora wa ligi kuu tanzania cha kenya kiko wapi 😅😅😅😅
View attachment 2656804
The best schools in Kenya are not even in Nairobi you idiot.Mzee utaokoteza sana ila njee ya Nairobi Kenya Haina shule yenye majengo ya maana
Japo sijauona huo mkataba nadhani ni MoU between serikali mbili hivyo muda unaweza usiainishwe ila mkataba wa utelezaji utaainisha kila kitu.Kwa nini mkataba usieleze ukomo wake wazi wazi? Nini kinafichwa?
Wewe nyagau mbona msahaulifu sana? Yaani kwa maana hiyo unataka kutuaminisha kuwa pipeline, kibera na mathare ndio zinaweza kuwepo kwenye world class city sio!!!!such ugly aerial view can never be in The world class city of NAIROBI.....5th world tanganyika....these are the middle class of tanganyika View attachment 2657831View attachment 2657832
Akili ya kitumwa hiyo why waterloo and not mau mau? Who knows Waterloo or how many audiences in Africa know about Waterloo? Mambo ya wazungu waachie wao wenyewe hayatuhusu huku.Thisone I agree…… though I wasn’t feeling UDA during the elections, i believe in democracy… the guy won… let him execute his policy… if he fails, he will meet his Waterloo in 2027…. Period!
Uniambie mm sehemu gani sijafika kenya ?? Mm turkana na lamu ndio sijafika ila kwengine kote nimefika na huna cha kunidanganya hapa 😅😅😅😅 sasa huyo huyo baba levo alisema yuko tayar kumzalia diamond utasema akili zimo humowewe umebweka hapa na ujinga tushakuzoea......ukweli wa Baba levo inawauma kama nge.......poor tanganyikan....sasa mkitoa GDP ya zanzibar mnabaki hoi bin hoi.....hiyo nchi yenu ya uswazi vijiweni muwache kulinganisha na The America of Africa aka Kenya
clearly he has never left poor tanganyika... Kenya is in steroids deep in the counties....The best schools in Kenya are not even in Nairobi you idiot.
107b alaf over 80% ni debt to GDP ratio yani nchi haina hata uwezo wakulipa mishahara ya watu kwa wakati 😅😅😅😅Kenyan economy USD USD 80bn madeni. Uchumi halisi wa Kenya haufiki hata USD 30bn simple mathematics sasa sijui unaongelea uchumi gani hapa.
Unalinganishaje pipeline na huo uswazi wenu, wewe ni mwendawazimuWewe nyagau mbona msahaulifu sana? Yaani kwa maana hiyo unataka kutuaminisha kuwa pipeline, kibera na mathare ndio zinaweza kuwepo kwenye world class city sio!!!!
Bisha huyu sio wewe 😅😅😅Post any of my pictures that you think it’s cropped… I dare you…🤣🤣🤣🤣
You got to love the job that sustain your existence of course 😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣…. Please don’t kill yourself… we might miss you…🤣🤣… or should I buy you a rope?..🤣🤣 btw stop dragging Ketepa into your childish wining… I love their Kenyan tea …. The best in the word….
Nimeshakutumia ukiwa full, sijui unamficha nani wakati unajulikana kwa komwe kama airstrip ya shakahola 😅😅😅wacha Ketepa tea… hata Tusker tunakunywa America …🔥View attachment 2657978
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Bisha huyu sio wewe 😅😅😅
View attachment 2658198