Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Investors interested in Kenya Airways are being thrown off by its Sh187.74 billion($1.3 billion) debt​


Taifa Lina madeni mpaka wawekezaji wanahepa 🤣🤣🤣 ma'mae.
 
Only if you say across the water body… otherwise Nairobi National park SGR bridge is still the longest ukanda huu… facts!
Japo mimi sio engineer lakini nadhani kuna umuhimu wa kujua kuna tofauti ya bridge na viaduct, inafaa ujue watu wanaongelea Bridge sio viaduct

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Good news sana hii ukiongeza na ndege ya mizigo ATCL.
Wapingaji wengi wa huu uwekezaji ni TICTS kwa sababu wamenyimwa ulaji.
Tupunguze propaganda za kijinga.


Sijui kama umesoma mapendekezo ya mkataba, tatizo lipo kwenye ukomo. Hizo cold room ni vitu vidogo sana, kama tuliweza kujenga terminal 3 tutashindwa kujenga cold room wenyewe kweli? Naambatanisha hapa article 23 ya haya mapendekezo...

article_23.png
 
Heb weka hiyo dream house yako tuone hapa.. we mbwa sio kula dinner tu na Diamond hata nafasi ya kumuona kwa karibu tu u can't afford 🤣🤣.. wacha kujitia umuhimu we famba.. Raila Odinga ilimgharimu 11 million kinya money ili kukutana na Diamond + kumlipia private jet from SA to Kenya just afenye show ya nusu saa tu .. ndio utaweza wewe kukaa kula kukaa same place na Naseeb for dinner? 🤣🤣 Peleka umalaya wako mbele
Forget about Diamond who doesn’t even know you exist…you can’t afford to breath same air with me…🤣🤣🤣 wivu itamuua nyinyi Bongolalas….i don’t have to expose everything about me to you but for one last time i live comfortably good….. as you can see .. about to drive into my driveway… my house to the left… in my mercedes benz S-550… i know hata Tesla yangu hamukwamini…. As I tell you sisi Wakenya we live real life … we got our problems yes but we are smart and well educated and can survive anywhere..
 

Attachments

  • 5D8555E0-29BC-404B-9F71-DB8A35AE054B.jpeg
    5D8555E0-29BC-404B-9F71-DB8A35AE054B.jpeg
    214.5 KB · Views: 6
Sijui kama umesoma mapendekezo ya mkataba, tatizo lipo kwenye ukomo. Hizo cold room ni vitu vidogo sana, kama tuliweza kujenga terminal 3 tutashindwa kujenga cold room wenyewe kweli? Naambatanisha hapa article 23 ya haya mapendekezo...

View attachment 2657732
Ukomo upo pale pale in case kutatokea sintoelewana.

Harafu Serikali imesema Ukomo utakuwepo pindi mikataba ya utekelezwaji itakapoanza.

On top of that Kuna nafasi ya Kufanyika Kwa maboresho Kwa articles zinazoleta taharuki.
 
And before you deny that’s not me… or my benz… i just walked into my house….
 

Attachments

  • 43614A49-DFC0-4BFB-9E29-38370BEBDCDB.jpeg
    43614A49-DFC0-4BFB-9E29-38370BEBDCDB.jpeg
    1.1 MB · Views: 7
You'll be lucky to find a single true high-rise apartment in all of Tanzania.
The extremely few tall buildings they have are all offices or 2-star hotels.

Eastleigh has more high-rise residential buildings than all of Dar.

Visiting the country feels like you've time travelled to Kenya in 1990s.

Huyu muamerika amesema dar wako 30yrs behind.😂
 
Back
Top Bottom