Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Lengo kubwa ni hilo nimekutajia, alshabaab walitaka kutengeneza Islamic caliphate ndani ya Somalia na nusra wafaulu Kama sio juhudi zetu. Hakuna vile tungepakana na nchi ya magaidi, Tanzania inatosha.
Leo Somalia kuna serikali ambayo tuliifufua wenyewe mwaka wa 2009 hapa nairobi. Hao waliobakia ni swala muda.
Buffer zone iko inaitwa jubaland na kiongozi wake ni puppet wetu.
Wewe nyang'au unajua sana kujidanganya🤣🤣
 
Eistleigh ni slum tayari haina tofauti na pipeline, haina land bank, haina green spaces, haina paved streets, haina functional garbage collector, haina proper sewage and storm water management, haijulikani ni residential or shopping center, haina playing grounds, sio safe for kids and people with special needs, haina order, the next vertical kibera in the forging

Usijali. Kilimani ilikuwa vivyo hivyo 5 years ago. 🤣 🤣
Private capital ikifika, kinachofuata ni government investment.

Dar hakuna neither private nor government money.
Jipeni miaka 30 kabla private investment ifike level ya Eastleigh. 😂😂
 
Wewe sio mzima. Bungeni imepelekwa tarehe 6, sisi kitambo Twitter kila mahala tulishaanza kelele muda sana! Mkataba umevuja kitambo na kelele zimeanza kitambo Twitter, Clubhouse.

Nafikiri tuishie hapa maana its a waste of time na energy kulumbana na wewe wakati hata hujui kinachoendelea zaidi ya kusukumwa na imani.

Thanks brother.
Mkuu wewe ni mtu wa ajabu Sana, sijui elimu yako inakusaidia nini, hujui lolote kuhusu bunge linavyofanya kazi.

Kabla ya bunge kuanza vikao vyake, mambo ambayo yanaenda kuzungumzwa bungeni, wabunge wanatumiwa wakiwa majimboni kwao miezi kadhaa Ili wasome na kushirikisha wananchi wao Ili kupata mawazo Yao, wabunge hawakutani nalo wakifika Dodoma, Sasa watawezaje kuwakilisha mawazo ya wananchi Kama Kila kitu wanakutana nacho Dodoma?.

Ndani ya miezi hiyo ya April, ndio kipindi ambacho wabunge walitumiwa "copy" ya hiyo mikataba ndio sababu sisi raia tulijua kupitia wabunge wetu.

Jambo lolote linaloingizwa katika ratiba ya vikao vya bunge, huwa wabunge wanalijua kabla hawajaenda Dodoma, kukitokea jambo ambalo halipo katika ratiba, lazima atokee mbunge atoe hoja binasfi rasmi Ili bunge lisimamishe ratiba zake kulizungumzia hilo jambo, Je Kuna mbunge yeyote aliyesimama na kutoa hoja rasmi kuhusu huo mkataba Kama unasema huo mkataba ulipelekwa bungeni tarehe 6?.

Wewe Kama huonani na mbunge wako lazima utahisi hizi habari zimevuja kwasababu unazisikia mitaani na kwenye mitandao, huna vyanzo rasmi vya kupata habari za nchi, sio swala la kuvuja. Mkuu jielimishe kwanza kuhusu serikali na bunge kabla ya kuzungumza haya mambo.
 
Lengo kubwa ni hilo nimekutajia, alshabaab walitaka kutengeneza Islamic caliphate ndani ya Somalia na nusra wafaulu Kama sio juhudi zetu. Hakuna vile tungepakana na nchi ya magaidi, Tanzania inatosha.
Leo Somalia kuna serikali ambayo tuliifufua wenyewe mwaka wa 2009 hapa nairobi. Hao waliobakia ni swala muda.
Buffer zone iko inaitwa jubaland na kiongozi wake ni puppet wetu.
Hahaha, ninajua unajua ukweli ila Kama kawaida yenu mnajaribu kudanganya Ili kuficha ukweli.
 
Lengo kubwa ni hilo nimekutajia, alshabaab walitaka kutengeneza Islamic caliphate ndani ya Somalia na nusra wafaulu Kama sio juhudi zetu. Hakuna vile tungepakana na nchi ya magaidi, Tanzania inatosha.
Leo Somalia kuna serikali ambayo tuliifufua wenyewe mwaka wa 2009 hapa nairobi. Hao waliobakia ni swala muda.
Buffer zone iko inaitwa jubaland na kiongozi wake ni puppet wetu.
Hapa naweza kukuunga mkono na kukubaliana na wewe kwa kiasi chake, ni kama vile sisi tulivyokuwa tukikomboa nchi za Kusini mwa Afrika ili zisitumike kama uwanja wa fujo kutuvurugia amani yetu.
 
Huyo mwingine keshaanza kupost picha za mtandaoni, makenya bhn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Attachments

  • 5B7A7FEB-5708-4D63-9FC3-87DDC9BE4143.jpeg
    5B7A7FEB-5708-4D63-9FC3-87DDC9BE4143.jpeg
    886.1 KB · Views: 20
Usijali. Kilimani ilikuwa vivyo hivyo 5 years ago. 🤣 🤣
Private capital ikifika, kinachofuata ni government investment.

Dar hakuna neither private nor government money.
Jipeni miaka 30 kabla private investment ifike level ya Eastleigh. 😂😂
Neither Eastleigh nor pipeline will shift their status from slum to decent place no matter how much money your government will pump in, the only solution is to demolish the whole mess and start afresh which is an unattainable pipedream.
 
So you think that’s lots of cash… in my bedroom today before heading to the bank …in a shopping bag 🤣🤣🤣View attachment 2656640
Kwahyo we mbwa unataka kushindana na Nassibu.? 🤣🤣 Hiyo pesa Diamond ametengeneza ndani ya lisaa limoja tu alilosimama Jana ktumbuiza kwenye show ya yanga. Wewe unatumia muda Gani kutengeneza $70k .? 🤣🤣 Au unataka kujitia umuhimu fala wewe.!
 
Mkuu wewe ni mtu wa ajabu Sana, sijui elimu yako inakusaidia nini, hujui lolote kuhusu bunge linavyofanya kazi.

Kabla ya bunge kuanza vikao vyake, mambo ambayo yanaenda kuzungumzwa bungeni, wabunge wanatumiwa wakiwa majimboni kwao miezi kadhaa Ili wasome na kushirikisha wananchi wao Ili kupata mawazo Yao, wabunge hawakutani nalo wakifika Dodoma, Sasa watawezaje kuwakilisha mawazo ya wananchi Kama Kila kitu wanakutana nacho Dodoma?.

Ndani ya miezi hiyo ya April, ndio kipindi ambacho wabunge walitumiwa "copy" ya hiyo mikataba ndio sababu sisi raia tulijua kupitia wabunge wetu.

Jambo lolote linaloingizwa katika ratiba ya vikao vya bunge, huwa wabunge wanalijua kabla hawajaenda Dodoma, kukitokea jambo ambalo halipo katika ratiba, lazima atokee mbunge atoe hoja binasfi rasmi Ili bunge lisimamishe ratiba zake kulizungumzia hilo jambo, Je Kuna mbunge yeyote aliyesimama na kutoa hoja rasmi kuhusu huo mkataba Kama unasema huo mkataba ulipelekwa bungeni tarehe 6?.

Wewe Kama huonani na mbunge wako lazima utahisi hizi habari zimevuja kwasababu unazisikia mitaani na kwenye mitandao, huna vyanzo rasmi vya kupata habari za nchi, sio swala la kuvuja. Mkuu jielimishe kwanza kuhusu serikali na bunge kabla ya kuzungumza haya mambo.
Wewe, huu mkataba uklivujishwa na haukuletwa na wabunge kama unavyodai hapa. Mikataba kibao imesainiwa upi umejadiliwa? Huko Dubai ilisainiwa mikataba kama 14, mingine iko wapi isijadiliwe?

Umeuona mkataba wa $40B LNG project? wewe vipi??

Mpaka ivuje ndio utaona wabunge wakihaha kuinusuru serikali.
 
Kwahyo we mbwa unataka kushindana na Nassibu.? 🤣🤣 Hiyo pesa Diamond ametengeneza ndani ya lisaa limoja tu alilosimama Jana ktumbuiza kwenye show ya yanga. Wewe unatumia muda Gani kutengeneza $70k .? 🤣🤣 Au unataka kujitia umuhimu fala wewe.!
🤣🤣🤣 your insults shows i have touched your nerve… I love it… umeumia!…. First things first…. I never said am richer than Diamond… definitely not but I can dine on same table with him and afford it… I live comfortably… dream house, dream whips ( rides), dream vacations, my kids attend dream school…. Etc… I can’t complain… now what about you?… howz Uswaziland treating you?..🤣🤣
 
🤣🤣🤣 your insults shows i have touched your nerve… I love it… umeumia!…. First things first…. I never said am richer than Diamond… definitely not but I can dine on same table with him and afford it… I live comfortably… dream house, dream whips ( rides), dream vacations, my kids attend dream school…. Etc… I can’t complain… now what about you?… howz Uswaziland treating you?..🤣🤣
Heb weka hiyo dream house yako tuone hapa.. we mbwa sio kula dinner tu na Diamond hata nafasi ya kumuona kwa karibu tu u can't afford 🤣🤣.. wacha kujitia umuhimu we famba.. Raila Odinga ilimgharimu 11 million kinya money ili kukutana na Diamond + kumlipia private jet from SA to Kenya just afenye show ya nusu saa tu .. ndio utaweza wewe kukaa kula kukaa same place na Naseeb for dinner? 🤣🤣 Peleka umalaya wako mbele
 
Wewe, huu mkataba uklivujishwa na haukuletwa na wabunge kama unavyodai hapa. Mikataba kibao imesainiwa upi umejadiliwa? Huko Dubai ilisainiwa mikataba kama 14, mingine iko wapi isijadiliwe?

Umeuona mkataba wa $40B LNG project? wewe vipi??

Mpaka ivuje ndio utaona wabunge wakihaha kuinusuru serikali.
Mkuu, ninarudia tena, jambo lolote ambalo halipo katika ratiba ya bunge, haliwezi kuzungumzwa na bunge hadi mbunge atoe hoja rasmi kusimamisha bunge, na ikitokea hoja ya kusimamisha bunge Ili kujadili hoja ya huyo mbunge, hilo linakua ni jambo kubwa, lazima nchi nzima tutasikia na kujua.

Mkuu, katika bunge hili linaloendelea, je Kuna siku ulisikia kuna hoja yoyote ya dharura ya kusimamisha bunge Ili kujadili huo mkataba?, jibu ni hapana. Hilo swala la mkataba lilikuwepo katika ratiba za bunge na ndio sababu lilizungumzwa bila hoja ya dharura, hiyo maana yake ni kwamba, wajumbe walipata dondoo zote za yatakayozungumzwa miezi kadhaa nyuma kabla ya kwenda Dodoma.

Kuhusu mikataba mingine kutozungumzwa bungeni, Mkuu, kazi ya serikali chini ya rais aliyechaguliwa na sisi wote, ni kuingia mikataba kwa niaba yetu Ili sisi tuendelee na kazi zingine, yeye na wasaidizi wake hawaendi shamba Wala kufanya kazi zingine, kazi zao wao ni hizo za kuingia mikataba kwa niaba yetu tukiamini kwamba wanafanya hivyo kwa mujibu wa maslahi, taratibu na mamlaka waliyokabidhiwa kikatiba ya nchi yetu.

Bunge ndilo lenye jukumu la kuisimamia serikali endapo itakengeuka jinsi ya kuingia mikataba hiyo, serikali inapaswa kuomba kibali toka bungeni pale inapotaka kuingia mikataba mikubwa Kama huu wa DPW, lakini mikataba mengine mingi, serikali haiwajibiki kulishauri bunge, hiyo ipo chini ya uwezo wao, ni sehemu ya kazi zao.

Kwa mfano SSH alipokwenda ufaransa, aliingia mkataba na kampuni Ili kuja kukarabati uwanja wa ndege Dar "terminal ll", bila hata kushauri bunge, au mikataba ya Air France kuja Dar, au mikataba ya Ujenzi wa Meli na kampuni la Korea.
 
Back
Top Bottom