Hahahaha, sababu ya KDF kwenda Somalia ilikua ni kwenda kusaidia kurudisha Serikali ya Somali,





.
Sababu ilikua ni kwenda Somalia Ili kuzuia Alshabaab kuvuka na kuingia Kenya na kuteka watalii na kuomba fidia kabla ya kuwaachia.
Sekta ya utalii ilianza kuharibika kutokana na watalii kutekwa. KDF ilikwenda Ili kutengeneza "buffer zone", matokeo yake ndio tatizo limekua kubwa zaidi. Hivi kweli ni akili gani kwenda kusaidia serikali ya nchi jirani lakini unashindwa kulinda raia wako?
In less than a month, the al-Shabaab group has carried out at least six attacks in Garissa, Wajir and Mandera counties.
nation.africa