Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Whats the value of this shoe😂😂
Hvi vitu mutaviskia tu tanzania 😅😅😅
20230614_085953.jpg
 
Kesho utawaskia wakisema bongo fleva ni yao ilimradi tu sifa ziwe kwao kila kizuri duniani ni chao 😅😅😅😅😅😅😅

Ile ishu ya sportpesa naona bado inakuuama,🤣🤣🤣 hata hii bongofleva tukichunguza tutapata ilianza Kenya.
 
Kibera ya leo Ina dual carriageway katikati, inaitwa missing link road.
Utasema vibanda vya mbwa daah watu wanaishi kama wanyama wamekimbia ushagoo .

Au mnatumia hizo slums hapo capital city as a tourist site Kama vile hio national park ?

Maana foreigners Hata celebrities Kama 50 cent na Michael rainey jr walishawahi kupiga picha huko kutuonyesha dunia Africa ikoje . Sasa sijajua ndio platform ya kuonyesha dunia Africa is a big village
 
Kibera ya leo Ina dual carriageway katikati, inaitwa missing link road.
Still dual carriageway haiwezi zuia watu huko kunya kwenye magazeti si ajabu hata vinyesi wanatupa kwenye road ustaarabu wa watu wa huko ni kama nyumbu ndio hao vijana Raila ana wa sacrifice kwenye maandamano yake
 
Ile ishu ya sportpesa naona bado inakuuama,🤣🤣🤣 hata hii bongofleva tukichunguza tutapata ilianza Kenya.
Ile ishu ya sportpesa naona bado inakuuama,🤣🤣🤣 hata hii bongofleva tukichunguza tutapata ilianza Kenya.
Ndio mulivojidanganya au nikuoneshe mmliliki wa sport pesa ni nani ??😅😅😅

HQ iko liverpool sport pesa mali ya watu bado munajinadi ni yenu 😅😅😅😅 ndio maana technology kila siku inawaumbua

Si yaleyale yakusema DTB ni mali ya kenya wakat mali ya agakhan 😅😅😅😅
 
Still dual carriageway haiwezi zuia watu huko kunya kwenye magazeti si ajabu hata vinyesi wanatupa kwenye road ustaarabu wa watu wa huko ni kama nyumbu ndio hao vijana Raila ana wa sacrifice kwenye maandamano yake
Na haitabadilisha ukweli kua kibera ndio worse ever and biggest slum on planet😅😅😅 na akibisha tu nishtue
 
Back
Top Bottom