Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukipata hela nenda kanywe bia Sandton ,
Kule local beer kama Castle ni around 1.2USD na msosi full ni kama 10$ plus pisi za pale Sandton ni kali mno na haziringi na ni karimu sana, Asante sana kwa ile pisi inaitwa Khumbutso Hakika ilinipa kampani mno .
Sitaki nikuelezee in details, msosi wa aina gani huo wa $10 ni KFC, Nandoz, Wimpy, or aina hiyo ya restaurant? maana hiyo ni R185,70 ni hela nyingi sana kama ni msosi wa kawaida, ambapo highest ni R50.

Pili, hao madem hawakai Sandton, wanatoka locations tofauti sema sandton ndio kiwanja chao cha kutafuta risk, yaani ni kiwanja cha mabuzi wa grade ya juu. Yaani watu toka nje na n.k.

Maisha magumu sana SA, na kawaida ya nchi za kikapitalist, shule ikikutupa mkono kama ni demu, kuuza nyapu kuna kuhusu, ama hamna mishe utapiga.
 
Tatizo lipo kwenye usimamizi na wala siyo uwekezaji, mbona tuliweza kuboresha bandari zetu zote bila ya wawekezaji, bandari ya Tanga ilikuwa imekufa lakini sasa meli zinakuja. Kwenye reli waliletwa wawekezaji kutoka India wakaishia kuiua, serikali hiyo hiyo iliweza kuifufua reli ya Tanga na Arusha. Utaona hapa usimamizi ndiyo tataizo.

Nchi nyingine hawa DP World wamepewa gati tuu kuendesha tena kwa waingereza wameyatengeneza wao wenyewe gati lao, sisi tumewapa bandari nzima tuliyokwisha iboresha kwa pesa zetu, huoni kuna ujuha hapo?
Mkuu, kweli kabisa tatizo ni usimamizi ndio sababu tunatafuta watu wenye ujuzi na elimu ya kusimamia utendaji kazi wa bandari. DPW wanao uwezo wa kusimamia kwa kutumia wataalamu na kutumia technolojia ya kisasa katika kushusha na kupakia mizigo, pale watakapoona kwamba Kuna mahitaji ya kuboresha zaidi, watafanya hivyo kwa mujibu wa mkataba.

Mkuu, Kilimanjaro Hotel Kama jengo lilijengwa na serikali, lakini tulishindwa kulisimamia kutokana na kutokua na ujuzi na mtandao mzuri wa biashara, tuliamua kuita wawekezaji ambao waliboresha jengo na kufunga mitambo ya kisasa zaidi na kuongeza utaalamu wa kuendesha biashara. Kwa upande wa Embassy Hotel, serikali iliamua kutotafuta wawekezaji kuiendesha, hadi leo haifanyi kazi.

Hivi ile reli ya Dar - Moshi Kama kweli biashara ya reli ingekua na ushindani Kama ilivyo bandari zinavyoshindana na nchi jirani, unadhani ingeweza kuhimili ushindani?. Hivi akija mtu akajenga SGR kwenye hiyo route ya Dar - Moshi -Arusha na kushusha behewa za ghorofa na Kila kitu ndani, Kuna mtu angetumia hiyo ya TRC?.

Ujuzi ni kuzidiana, japo serikali imejenga hiyo bandari, lakini sio kwa kiwango Cha kimataifa, bado inahitaji kuboreshwa katika mitambo inayotumia technolojia ya kisasa Ili kushindana na bandari zingine.

Hivi hushangai bandari ya Somalia kushika nafasi ya 141 lakini bandari ya Mombasa kuwa namba 346 na Dar 321 kwenye ufanisi?.
 
I have a masterplan for Kenyan Football revival…the playbook is in the oven cooking… mtastuka!… watch this space…
Bila ya kuipa Azam TV hiyo ligi yenu uchwaru, hizo ndoto zako na master plan yako ni mavi Tu! Wala usijaribu!! Tanzania timefika hapa baada ya investment ya Azam ya miaka 10. Kwenye hilo hakuna shortcut mkuu!!
 
Hatuna tatizo na uwekezaji, bali uwazi wa mikataba, watanzania tunataka kujua muda wa mkataba, na masharti ya kuvunjwa kwa mkataba kama tukishindwana mbele ya safari. Ni kwa nini hayo hayajawekwa wazi kwa wananchi? Ndiyo maana watu wanakuja na hitimisho la kuuzwa.

Si Mbarawa wala Azim Dewji aliyefafanua kuhusu muda wa mkataba, tena Dewji (namuheshimu sana huyu mfadhili wetu wa zamani wa Simba, ila hili hapana) ameenda mbali na kusema, eti serikali haitakiwi kuelezea yote yaliyo kwenye mkataba kwasababu wengine (zaidi ya DP World) wanaweza kuwapiku , sasa kupikuana si ndiyo demokrasia yenyewe, au nyinyi mmekuwa hamuanini tena katika demand and supply?
Huu ni mkataba kati ya serikali na serikali yaani Government of Tanzania na serikali ya UAE. MoU inaainisha maeneo ya ushirikiano kwenye hiyo sector.

Mkataba halisi utakuja kusainiwa kati ya DP World na TPA huo ndio utakuwa more specific na wenye vipengele vya kuangalia mara mbilimbili.
 
Mkuu, kweli kabisa tatizo ni usimamizi ndio sababu tunatafuta watu wenye ujuzi na elimu ya kusimamia utendaji kazi wa bandari. DPW wanao uwezo wa kusimamia kwa kutumia wataalamu na kutumia technolojia ya kisasa katika kushusha na kupakia mizigo, pale watakapoona kwamba Kuna mahitaji ya kuboresha zaidi, watafanya hivyo kwa mujibu wa mkataba.

Mkuu, Kilimanjaro Hotel Kama jengo lilijengwa na serikali, lakini tulishindwa kulisimamia kutokana na kutokua na ujuzi na mtandao mzuri wa biashara, tuliamua kuita wawekezaji ambao waliboresha jengo na kufunga mitambo ya kisasa zaidi na kuongeza utaalamu wa kuendesha biashara. Kwa upande wa Embassy Hotel, serikali iliamua kutotafuta wawekezaji kuiendesha, hadi leo haifanyi kazi.

Hivi ile reli ya Dar - Moshi Kama kweli biashara ya reli ingekua na ushindani Kama ilivyo bandari zinavyoshindana na nchi jirani, unadhani ingeweza kuhimili ushindani?. Hivi akija mtu akajenga SGR kwenye hiyo route ya Dar - Moshi -Arusha na kushusha behewa za ghorofa na Kila kitu ndani, Kuna mtu angetumia hiyo ya TRC?.

Ujuzi ni kuzidiana, japo serikali imejenga hiyo bandari, lakini sio kwa kiwango Cha kimataifa, bado inahitaji kuboreshwa katika mitambo inayotumia technolojia ya kisasa Ili kushindana na bandari zingine.

Hivi hushangai bandari ya Somalia kushika nafasi ya 141 lakini bandari ya Mombasa kuwa namba 346 na Dar 321 kwenye ufanisi?.
Kusimamia mambo mbona rahisi tuu, taifisha mali, weka jela, fanyisha kazi ngumu wale wote wanaohujumu uchumi, watu watanyooka. Haya mambo ya kulea wizi wizi ndiyo yanayoharibu nchi, tunao uwezo wa kujiendesha wenyewe.
 
Kusimamia mambo mbona rahisi tuu, taifisha mali, weka jela, fanyisha kazi ngumu wale wote wanaohujumu uchumi, watu watanyooka. Haya mambo ya kulea wizi wizi ndiyo yanayoharibu nchi, tunao uwezo wa kujiendesha wenyewe.
Hiyo ni biashara mkuu, hakuna biashara rahisi duniani, hata biashara ya kuchoma viazi inahitaji usimanizi wenye ujuzi wa biashara, hasa Dunia ya Leo iliyojaa ushindani na maendeleo makubwa ya technolojia ya IT inayobadilika kwa kasi Sana.

Mkuu, hivi inakuaje hata kocha wa kufundisha mpira wa miguu ambaye haitaji vifaa vya kisasa, huwa wanakuja na begi zao za nguo tu, lakini bado tunaajiri toka nje ya nchi lakini watu hawalalamiki?
 
Hiyo ni biashara mkuu, hakuna biashara rahisi duniani, hata biashara ya kuchoma viazi inahitaji usimanizi wenye ujuzi wa biashara, hasa Dunia ya Leo iliyojaa ushindani na maendeleo makubwa ya technolojia ya IT inayobadilika kwa kasi Sana.

Mkuu, hivi inakuaje hata kocha wa kufundisha mpira wa miguu ambaye haitaji vifaa vya kisasa, huwa wanakuja na begi zao za nguo tu, lakini bado tunaajiri toka nje ya nchi lakini watu hawalalamiki?
Unasema hatuwezi kuendesha bandari kwasababu hatujui biashara, umesahau tumeweza kuituliza bandari ya Mombasa, tumepata soko jipya la Zimbabwe, 70% ya gati la ro ro ni magari yanayo kwenda nje ya nchi, huoni kuwa tunaweza biashara?

Kwenye biashara kama unapata mafanikio (kupata wateja wapya), unachotakiwa kufanya si kubadilisha mfumo wote bali kuendeleza mazuri huku ukiondoa kasoro.
 
Unasema hatuwezi kuendesha bandari kwasababu hatujui biashara, umesahau tumeweza kuituliza bandari ya Mombasa, tumepata soko jipya la Zimbabwe, 70% ya gati la ro ro ni magari yanayo kwenda nje ya nchi, huoni kuwa tunaweza biashara? Cha kufanya ni kuondoa kasoro ndogo ndogo tuu.
Hahaha, mkuu unachekesha Sana, wakenya wameshakuharibu Sana. Wakenya wanadhani mafanikio yao makubwa hapa duniani ni kuizidi Tanzania.

Mkuu, hivi Sasa kwa ufanisi bandari ya Djibouti ipo ndani ya bandari 100 bora duniani, Somalia ipo kati ya bandari 150 Bora duniani. Sisi tupo namba 312. Kwasababu tumewazidi Kenya(Failed state) ndio kipimo kwamba tunafanya vizuri?.

Kenya ni nchi inayosambaratika katika Kila eneo, hupaswi kujilinganisha na nchi ambayo ipo kwenye "downward trajectory', inawezekana kwamba Kenya ndiyo inayotupita kwa Kasi ya kuporomoka chini wakati sisi tupo pale pale hatupandi juu. Japo ni kweli kwamba tumepanda, lakini Kasi ni ndogo Sana haiendani na "potential" ya bandari yetu.
 
Hahaha, mkuu unachekesha Sana, wakenya wameshakuharibu Sana. Wakenya wanadhani mafanikio yao makubwa hapa duniani ni kuizidi Tanzania.

Mkuu, hivi Sasa kwa ufanisi bandari ya Djibouti ipo ndani ya bandari 100 bora duniani, Somalia ipo kati ya bandari 150 Bora duniani. Sisi tupo namba 324. Kwasababu tumewazidi Kenya(Failed state) ndio kipimo kwamba tunafanya vizuri?.

Kenya ni nchi inayosambaratika katika Kila eneo, hupaswi kujilinganisha na nchi ambayo ipo kwenye "downward trajectory', inawezekana kwamba Kenya ndiyo inayotupita kwa Kasi ya kuporomoka chini wakati sisi tupo pale pale hatupandi juu. Japo ni kweli kwamba tumepanda, lakini Kasi ni ndogo Sana haiendani na "potential" ya bandari yetu.
Umekomalia Kenya tuu, huoni niliposema tumepata wateja kutoka Zimbabwe, vivi kuhusu 70% ya magari kwenya nje ya nchi?
 
Si wakenya walipost all over magufuli is dead more than a week mkibishana hapa ati anachapaka kazi.
Baadaye mkadanganywa
Kwahiyo hata huyo aliyesema Nkurunziza amefia Kenya yupo sahihi?, Wakenya kwa miaka mingi wamekua wakisema mlima Kilimanjaro upo Kenya, Je wapo sahihi?, Wakenya wakisema hizi buses za BRT hapa Dar.zilitengenezwa Kenya, Je wapo sahihi?.

Wakenya ni watu wenye kupenda kujikweza na kujiona wapo juu, jambo lolote ambalo litaonekana kwao linaweza kuwatangaza duniani kuwaonyesha wao wapo juu, lazima watalifanya Ili kupata sifa. Magufuli alikua ndio mtu aliyekuwa akishika vichwa vya habari duniani kote kipindi Cha COVID-19, kwahiyo Kenya walitaka kusikika kwa kutumia jina lake.
 
Kusimamia mambo mbona rahisi tuu, taifisha mali, weka jela, fanyisha kazi ngumu wale wote wanaohujumu uchumi, watu watanyooka. Haya mambo ya kulea wizi wizi ndiyo yanayoharibu nchi, tunao uwezo wa kujiendesha wenyewe.
Sahii kabisa

Kuna shule ya serikali nimesoma nikiwa A- level lakini yule mkuu alikuwa anaiongoza shule kama ya private na watoto WA private hizi ndogondogo wakitutembelea walikuwa wanatushangaa yani,taaluma IPO safi,majengo yapo safi kasoro kidogo ilikuwa gharama ya kumuda mabweni,michezo ilikuwa vizuri

Ishu ni kwamba watu wakiwa serikalini wanajibweteka na Huwa wanajeuri ya kuwa hawafukuzwi kazi gafla bin vuu
 
Back
Top Bottom