Lakini punda imechoka, ha ha ha.This Kilimani!!!!! Look carefully, the Towers keep rising daily.View attachment 2654324View attachment 2654325View attachment 2654326View attachment 2654327View attachment 2654329View attachment 2654330View attachment 2654331
Punda yupi!?Lakini punda imechoka, ha ha ha.
Muulize "baba" atakuambia, ha ha ha.Punda yupi!?
Nilijua mtajitokeza tuuYanga ni kubwa kuliko Simba mkuu huitaji ramli kujua hilo.



Hahahahah! eeh mkuu, nitajitahidiAisee kumbe wewe ni katoto kabisa, Yani umemaliza form four mwaka jana, no wonder unaona 2003-2009 ni zamani sanaaaa
Mm ni uncle wako kumbe, anyways, karibu Dar, ofcourse miaka niliyokuwa nasoma mm pale Azania ilikuwa miongoni mwa shule bora hapa Tz ila kwa sasa ni ya kawaida sana, karibu kijana wangu, pia usome sana hii mitandao usiipe kipaumbele sana itakuharibu dogo.
![]()
Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa
Kama kichwa cha uzi kinavyosema, mimi nimemaliza form four mwaka jana hivyo form five selections zimetoka na nimechaguliwa kwenda Azania sec Hivyo najua humu kuna watu wanaishi hapo karibu au wamesomea pale naomba mnipe hali ya maisha ya pale, ufaulu wake, n.k Natokea mikoani na itakuwa mara...www.jamiiforums.com
Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa
Unataka tuchome maduka ya watu na nyumba za ibada kama nyie mlivyofanya ?Tatizo lenu ni kwamba mko docile. Mnapelekwa Kama kondoo, badala kufanya activism kazi yenu ni kushindana Kati ya diamond na Ali kiba nani mkaliI
Huyo nae ana ubishi wa ajabu sana. Hela nyingi zimepigwa na wakina Kadogosa kwakua wale Eurowagons walitakiwa kuzifanyia marekebisho ziwe kama hizo pichani, walipochelewa na Magufuli kafa, fasta wakachukua tenda na kufanya uhuni wa kuleta wagons ambazo ndani wires zinaning'inia.waja ubishi wa kifalamanga mshikaji unapoibiwa kuwa tayari kung'amua! Najua hii maneno ndo maana nakuambia hamna refurbishment iliyofanyika kama wanavyodai! Walipiga rangi tu wakaleta! Kuweka charging points na screens za kuonyesha safari na vituo vinavyofuata na pia ku-offer TRC promotions spots ni vitu havikupaswa kuachwa! Na tusisahau WIFI pia!
Zinaitwa Dosto Wagons! Na kama walizikarabati kweli yaani zilifanyiwa refurbishment, basi zinapaswa kukaa hivi!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Kichwa chake kinapaswa kuwa hivi!
![]()
Kwa hali inavyoenda, sitashangaa tukipokea cha namna hii
![]()
Sasa wewe endelea kubisha kiupuuzi!
Kama ningeanza mapenzi pale nilipobarehe tu ningekuwa na mtoto kama wewe japo ni ngumu sana, itoshe kusema mm ni uncle wako au big brother kwako.Hahahahah! eeh mkuu, nitajitahidi
nimezaliwa 2004, hahahahahahah
Siku hizi ni Dar tu kwenye michezo hakuna cha Nairobi hapa.
Hehehee, hii Dodoma nasema hiiiiiiiiiiiiii
Hahahah! naqubari.Kama ningeanza mapenzi pale nilipobarehe tu ningekuwa na mtoto kama wewe japo ni ngumu sana, itoshe kusema mm ni uncle wako au big brother kwako.