Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwenye biashara Kuna kitu kinaitwa "Varieties", wale wenye kupenda amenities watapanda ya Korea, wenye kupenda ya ghorofa watapanda haya ya Ujerumani.

Tungekuwa ni nchi tajiri tungeagiza Yale mapya kutoka Korea yawe ya ghorofa na waweke amenities zote, lakini ni ghali mno, Bora tufanye hii "mixer" ya kienyeji.
waja ubishi wa kifalamanga mshikaji unapoibiwa kuwa tayari kung'amua! Najua hii maneno ndo maana nakuambia hamna refurbishment iliyofanyika kama wanavyodai! Walipiga rangi tu wakaleta! Kuweka charging points na screens za kuonyesha safari na vituo vinavyofuata na pia ku-offer TRC promotions spots ni vitu havikupaswa kuachwa! Na tusisahau WIFI pia!

Zinaitwa Dosto Wagons! Na kama walizikarabati kweli yaani zilifanyiwa refurbishment, basi zinapaswa kukaa hivi!
DB175212_DB_Thomas_Henne.png


csm_Doppelstockwagen_Redesign_RE20_RB22_Oberstock_18a0ce1cea.jpg


201204_moderndoppel_01.jpg


RB_33_960x680_3.jpg


csm_Doppelstockwagen_Redesign_RE20_RB22_Toilette_e74bdf1167.jpg


Kichwa chake kinapaswa kuwa hivi!
DBpbzf_763.5_Remagen.jpg


Kwa hali inavyoenda, sitashangaa tukipokea cha namna hii
2dosto-nsu.jpg


Sasa wewe endelea kubisha kiupuuzi!
 
Sasa unaletaje ya Korea yenye amenities zote halafu yanayofuata hayana? Where is the standard?
Hizo za Korea ni brand new made to specifications ila za ghorofa ni used made to previous owner specs so kukosekana kwa charging system naona sio issue huko kwao na may be hapa maana journey time ni ndogo at most 1.5 hours from point to point. Remember treni za ghorofa na zile za nyoka ni za short distance kama Dar -Moro au Dar -Dom ila zile from Korea zile ni za long distance Dar -Mwanza na Dar - Kigoma.
 
Hizo za Korea ni brand new made to specifications ila za ghorofa ni used made to previous owner specs so kukosekana kwa charging system naona sio issue huko kwao na may be hapa maana journey time ni ndogo at most 1.5 hours from point to point. Remember treni za ghorofa na zile za nyoka ni za short distance kama Dar -Moro au Dar -Dom ila zile from Korea zile ni za long distance Dar -Mwanza na Dar - Kigoma.
As long as refurbishment imefanywa kama Kadogosa anavyodai, sioni sababu kwann wagons za 21st Century zisiwe na charging points! Mimi si mjinga naweza nika-break down the cost uone ulipopigwa! Endelea kubisha! masanja na group lake wanajua wanavyofanya! As long wamechukua mabehewa right off wakafanya refurbishment charging points na screens hazipaswi kukosa! End of story!

Na si kazi ngumu hivyo kama unajua mambo ya engineering! Pembeni ya dustbin chini ya meza iliyoegezwa mkono wa Naibu Waziri wanatoboa wanapachika sockets! kule waliponyofoa screens wanazirudishia! Mabasi ya mikoani mengi saa hii yana charging points na WIFI pia sembuse treni za SGR!? Ndo maana nilipinga kununua used wagons nilijua kitakachotokea yaani loophole ya kupata vi-comissions. Jifunze design ya Dosto wagons kwanza!

FyPAlCTXsAENpld



FyPAlCYWYAAErPu


Walijua mkiona mabehewa ya ghorofa mtasahu kuulizia the basics!
 
waja ubishi wa kifalamanga mshikaji unapoibiwa kuwa tayari kung'amua! najua hii maneno ndo maana nakuambia hamna refurbishment iliyofanyika kama wanavyodai! Walipiga rangi tu wakaleta! Kuweka charging points na screens za kuonyesha safari na vituo vinavyofuatwa na TRC promotions ni vitu havikupaswa kuachwa!

Zinaitwa Dosto Wagons! Na kama walizikarabati kweli yaani zilifanyiwa refurbishment, basi zinapaswa kukaa hivi!
DB175212_DB_Thomas_Henne.png


csm_Doppelstockwagen_Redesign_RE20_RB22_Oberstock_18a0ce1cea.jpg


201204_moderndoppel_01.jpg


RB_33_960x680_3.jpg


csm_Doppelstockwagen_Redesign_RE20_RB22_Toilette_e74bdf1167.jpg


Kichwa chake kinapaswa kuwa hivi!
DBpbzf_763.5_Remagen.jpg


sitashangaa tukipokea cha namna hii
2dosto-nsu.jpg


Sasa wewe endelea kupisha kiupuuzi!
Geza wewe Huwa upo na shida Sana, Sasa wewe na huyo naibu mkurugenzi nani tumsikilize?, Yeye amesema hizo TV zitakuwepo, wewe unasema hakuna kwa kutazama kwenye picha na hata kabla hazijaanza kazi na hujazipanda, Je zikianza kazi mwezi ujao na hizo TV za kuonyesha vituo zikiwepo utasemaje?, Punguza ujuaji usio kuwa na maana.
 
Geza wewe Huwa upo na shida Sana, Sasa wewe na huyo naibu mkurugenzi nani tumsikilize?, Yeye amesema hizo TV zitakuwepo, wewe unasema hakuna kwa kutazama kwenye picha na hata kabla hazijaanza kazi na hujazipanda, Je zikianza kazi mwezi ujao na hizo TV za kuonyesha vituo zikiwepo utasemaje?, Punguza ujuaji usio kuwa na maana.
kama zitawekwa sina shida ila maneno yako ya varieties sikubaliani nayo najua thamani ya fedha mzee! Na charging points waweke ni suala la umeme tu halishindikani! Si upuuzi ati wa kupanda za mkorea kama mtu anataka charging points! That's so low of u mzee! charging points, announcements screens n WIFI r the must in SGR locomitives! No negotiation on that!
 
Wameshindwa kushindana na Mombasa port wakaona wamuuzie DP, kitawaramba watanzakundu🤡
 
kama zitawekwa sina shida ila maneno yako ya varieties sikubaliani nayo najua thamani ya fedha mzee! Na charging points waweke ni suala la umeme tu halishindikani! Si upuuzi ati wa kupanda za mkorea kama mtu anataka charging points! That's so low of u mzee! charging points, announcements screens n WIFI r the must in SGR locomitives! No negotiation on that!
Kwahiyo hizo behewa hapo zilipo hazina thamani yoyote kwako endapo hazitokua na sehemu za kuchajia?. Kwamba pamoja hivyo zilivyo zinavyoonekana, zikikosa TV na sehemu za kuchajia kwako wewe hazina faida yoyote?.

Kwanini usilalamike zile za mkorea kutokua za ghorofa?, Kwasababu wapo watu ambao TV na charging port kwao sio muhimu Sana, kwao wanathamini ghorofa zaidi kuliko hizo TV na charging ports, vipi unataka kulazima kile unachokiona kwako ni muhimu basi nchi nzima tuone hivyo unavyotaka wewe?.
 
Kwahiyo hizo behewa hapo zilipo hazina thamani yoyote kwako endapo hazitokua na sehemu za kuchajia?. Kwamba pamoja hivyo zilivyo zinavyoonekana, zikikosa TV na sehemu za kuchajia kwako wewe hazina faida yoyote?.

Kwanini usilalamike zile za mkorea kutokua za ghorofa?, Kwasababu wapo watu ambao TV na charging port kwao sio muhimu Sana, kwao wanathamini ghorofa zaidi kuliko hizo TV na charging ports, vipi unataka kulazima kile unachokiona kwako ni muhimu basi nchi nzima tuone hivyo unavyotaka wewe?.
yes havina thamani huwezi kuingia train station ina WIFI na amenities zote halafu unaingia kwenye nginjanginja! Ni upumbavu na ubabaishaji! Lazma kuwe na mnyororo wa amenities basics kwa kila behewa! Esp. kwa gharama walizo-procure those used wagons na kuahidi refurbishment! Hii maneno siyo uelewa wako!
 
Muhimu kwangu ni jinsi mjadala ulivyofanyika, kwa utulivu na Kila mtanzania alichangia bila fujo Wala maandamano.
Tatizo lenu ni kwamba mko docile. Mnapelekwa Kama kondoo, badala kufanya activism kazi yenu ni kushindana Kati ya diamond na Ali kiba nani mkali🚮🚮 I
 
yes havina thamani huwezi kuingia train station ina WIFI na amenities zote halafu unaingia kwenye nginjanginja! Ni upumbavu na ubabaishaji! Lazma kuwe na mnyororo wa amenities basics kwa kila behewa! Esp. kwa gharama walizo-procure those used wagons na kuahidi refurbishment! Hii maneno siyo uelewa wako!
Wewe unajua thamani ya hizi behewa zikiwa mpya?, Umelinganisha na gharama za kuzifanyia "refurbishment" vs kuzinunua zikiwa mpya?. Hivi unajua tofauti kati ya "refurbishment na upgrading".

Refurbishment maana yake ni kuzikarabati kurudisha katika hali ya upya wake, sio kuongeza vitu ambavyo havikuwepo. Upgrading ni kuongeza vitu vipya vya kisasa zaidi

Haya mabehewa hayajafanyiwa upgrading, hayawezi kuwa na charging ports.

Geza unakumbuka kwamba zile ndege zetu aina ya Airbus 2 za kwanza hazina screens kwenye viti vyake lakini hizi 2 za mwisho tuliomba ziwekwe TV katika viti?, mbona hakuna utofauti wa nauli kati ya zenye TV na zisizo na TV na hakuna malalamiko?. Hivi buses zote tunazosafiria ziko na charging ports?

Kwako wewe Kama hivyo vitu ni muhimu sana, usipande hizi za ghorofa, uwe unapanda zile za Korea. Mimi binafsi ninachagua kupanda haya ya ghorofa, nilikua nikiyapanda kwa miaka mingi bila charging ports na sijaona kupungukiwa Sana.
 
Back
Top Bottom