Hivi unajua tofauti kati ya activism and Violance?. Kitendo Cha bunge kuwaka moto hiyo ni dalili ya activism. Kuandamana, kuchoma tairi barabarani, kurusha bomu za kutoa machozi, kuvunjwa kwa maduka na kuvamia mashamba na biashara za watu na watu kuuliwa, hiyo ni" Violance". Only uncivilized people can choose violence over dialogue".Tatizo lenu ni kwamba mko docile. Mnapelekwa Kama kondoo, badala kufanya activism kazi yenu ni kushindana Kati ya diamond na Ali kiba nani mkaliI
Keep ur opinion! Siku hizi unabisha tu ilimradi uonekane unabisha! NIKIKUULIZA model type ya wagon iliyoletwa huwezi kunijibu!Wewe unajua thamani ya hizi behewa zikiwa mpya?, Umelinganisha na gharama za kuzifanyia "refurbishment" vs kuzinunua zikiwa mpya?. Hivi unajua tofauti kati ya "refurbishment na upgrading".
Refurbishment maana yake ni kuzikarabati kurudisha katika hali ya upya wake, sio kuongeza vitu ambavyo havikuwepo. Upgrading ni kuongeza vitu vipya vya kisasa zaidi
Haya mabehewa hayajafanyiwa upgrading, hayawezi kuwa na charging ports.
Geza unakumbuka kwamba zile ndege zetu aina ya Airbus 2 za kwanza hazina screens kwenye viti vyake lakini hizi 2 za mwisho tuliomba ziwekwe TV katika viti?, mbona hakuna utofauti wa nauli kati ya zenye TV na zisizo na TV na hakuna malalamiko?. Hivi buses zote tunazosafiria ziko na charging ports?
Kwako wewe Kama hivyo vitu ni muhimu sana, usipande hizi za ghorofa, uwe unapanda zile za Korea. Mimi binafsi ninachagua kupanda haya ya ghorofa, nilikua nikiyapanda kwa miaka mingi bila charging ports na sijaona kupungukiwa Sana.
Kenya Inakubali dual citizenshipAlmost 90% of Kenyans Marathon runners have denounced their Kenya citizenships, despite the fact that Kenya allows dual citizenship.
Yanga na Simba gani popular TZ and successful?
I over heard some Ugandans wondering. They could not believe it. Taking selfies in the penthouses in Kileleshwa. They said "Is this Kenya really? Our people at home should know, this city is way beyond our standards as East Africans "Cool Sunday in Nairobi City View attachment 2653950
Waganda wanajua magufuli alipofia😂😂😂😂
Hawana hata chembe ya ushahidi, wanajisemea hovyo tu.Mkipata ushahidi munitag nifunge acc😅😅
🤣🤣🤣 Content creators wanaeza andika chochote Ili wapate views BroI over heard some Ugandans wondering. They could not believe it. Taking selfies in the penthouses in Kileleshwa. They said "Is this Kenya really? Our people at home should know, this city is way beyond our standards as East Africans "
Amua wewe ipi ni more popular Simba 👇Simba Sports Club (@simbasctanzania) | Instagram. Yanga 👇Young Africans Sports Club (@yangasc) • Instagram photos and videos.Yanga na Simba gani popular TZ and successful?
Oya mkuu umesomea hapo shuleni?Azania Secondary School (Azaboys), government school.View attachment 2548897View attachment 2548898View attachment 2548899View attachment 2548900
HaNdege yetu ya mizigo itaanza kazi mda c mrefu, huu usenge hutouona tena, mnauza fruit mnatoa wapi ikiwa matunda yote mnayatoa Tz, nioneshe mashamba mnayolima.
Kenya bila Tanzania hakuna kwenda chooni
Sio comments za Wakenya bali tumewaacha mbali sana kama unabisha tuingie kazini mm na wewe tuoneshane umwamba, oneshe vilivyopo Kenya havipo Tz nikuoneshe vilivyopo Tz havipo Kenya, na ukinishinda naondoka jamiiforums leo hii simple like that.Comments za wakenya zinakupa orgasm Kali Sana,
Msenge wewe onesha ushahidi pumbavu wewe.Kenya Inakubali dual citizenship
Huwezi kataliwa kuwa raia wa US ,Canada , Switzerland etc nchi zote zinazokubali.
Mimi pia ni American despite being a Kenyan
Sijadenouced my citizenship as a Kenyan.
Am both