Mkuu, umesema mkataba ni euro 26M jumla, hiyo maana yake ni gharama zote za ununuzi na ukarabati, Kama unahisi Kuna pesa zaidi ya hiyo iliyotolewa, tuambie tujue Ili tulinganishe "value for money". Kama unaijua sababu iliyosababisha mkataba kuvunjwa zaidi ya hiyo iliyotajwa na serikali, tuambie Ili na sisi tulalamike.https://youtu.be/1SjflTcdhac
Mkuu, TV zipo ndani. Kwa uzuri wa mabehewa haya bado unalalamika, ulitakaje?
Meza zipo na sehem za TV zipo inaonekana hazijafungwa tu labda charging system ndio sijaonaHakuna meza,hakuna TV hakuna charging systems,hakuna vichwa🚮 yaani nimemchukia kadogosa aise!
Muda wote huwa wanapigana miti tuu ndio maana idadi ya watu ni kubwa hivyo kupelekea upungufu wa chakulaNinyi mjifunze kujilisha kwanza muondokane na aibu your whole president & minister are begging for exit permission from our deputy minister, hata hivyo mtakua mnashangaa sana watanzania wanajulikana kupenda anasa sana huwakosi kwenye maharusi, burudani, mipira daily lakini bado wanapata muda wa kufanya kazi na kulisha nchi 8 na export kubwa overseas, ninyi ambao hampo kwenye anasa hata kujilisha wenyewe tu shida asa muda wote huwa mna fanya shughuli gani?
Inashangaza kiukweli 😅 na bado percent kubwa ya maisha yao wanayaendesha kwa nguvu ya remittance, ukijiuliza local mashakahola yanafanya kazi ipi zaidi ya kupigana miti mpaka kwenye public parks kama ngedere utaumia ubongoMuda wote huwa wanapigana miti tuu ndio maana idadi ya watu ni kubwa hivyo kupelekea upungufu wa chakula
Marking scheme on duty
Mkuu, Kama umeishi Ulaya na kutumia hayo mabehewa ya ghorofa usingemchukia Kadogosa, hivyo yalivyo ndivyo yanavyotengenezwa toka Kiwandani.Hakuna meza,hakuna TV hakuna charging systems,hakuna vichwayaani nimemchukia kadogosa aise!
Vichwa vya hizo mabehewa viko wapi? Though am sure Tv hazipo.Meza zipo na sehem za TV zipo inaonekana hazijafungwa tu labda charging system ndio sijaona
Mkuu unafuatilia haya mambo kweli au unatania?Vichwa vya hizo mabehewa viko wapi? Though am sure Tv hazipo.
Wacha kutupeleka refurbishment ingezingatia yaliyokosekana!Mkuu, Kama umeishi Ulaya na kutumia hayo mabehewa ya ghorofa usingemchukia Kadogosa, hivyo yalivyo ndivyo yanavyotengenezwa toka Kiwandani.
Kama unataka kuwekewa hayo unayotaka, unapaswa kotoa "order" Kiwandani utengenezewe mapya na uwekewe vitu utakavyo. Ni sawa na kununua gari "used manual' model 1990 haina "digital dash body", baada ya kukarabatiwa ukataka iwe "Automatic with digital dash body".
Kuhusu meza, Huwa Kuna kuwa na meza mbili katikati, ambapo " opposite seats face each other". Hata kwenye zile behewa za Korea ni hivyo hivyo.
Kwangu mimi, ukilinganisha bei, capacity na design, ninachagua behewa hizi za ghorofa kuliko zile za Korea
Okay,nimefatilia ni kweli Huwa hayana TV screen,ila meza kama wataweka itakuwa poa.Mkuu, Kama umeishi Ulaya na kutumia hayo mabehewa ya ghorofa usingemchukia Kadogosa, hivyo yalivyo ndivyo yanavyotengenezwa toka Kiwandani.
Kama unataka kuwekewa hayo unayotaka, unapaswa kotoa "order" Kiwandani utengenezewe mapya na uwekewe vitu utakavyo. Ni sawa na kununua gari "used manual' model 1990 haina "digital dash body", baada ya kukarabatiwa ukataka iwe "Automatic with digital dash body".
Kuhusu meza, Huwa Kuna kuwa na meza mbili katikati, ambapo " opposite seats face each other". Hata kwenye zile behewa za Korea ni hivyo hivyo.
Kwangu mimi, ukilinganisha bei, capacity na design, ninachagua behewa hizi za ghorofa kuliko zile za Korea
Nieleweshe mkuu kuhusu vichwa vyake🙏Mkuu unafuatilia haya mambo kweli au unatania?
Huwa yana Screen na zipo kwa ajili ya kuonyesha matangazo na vituo inaposimama!Okay,nimefatilia ni kweli Huwa hayana TV screen,ila meza kama wataweka itakuwa poa.