Huwezi kuwa padre au mtawa na wakati huo huo ukaruhusiwa kufanya sex, au kuwa na watoto. Slaa aliamua kuukana upadre kwanza ndio akaweza kuoa mke, Kama wapo wenye familia na bado ni Mapadre, basi wanajificha machoni mwa watu, yaani wanawaogopa watu kuliko Mungu wanayemuamudu, huo ndio unafiki uliojaa miongoni mwa wanaoamini hizi dini.
Mkuu, watu wengi hujibu hoja ya kufanya sex na kuwa na watoto kwa misingi ya uasili wa maumbile ya binadamu na Dunia, kwamba Mungu ameumba mwanamume na mwanamke Ili waje duniani kuzaana na kuijaza Dunia.
Wakatoliki tumefikia hatua ya kukataza kutumia kondom au kumwaga mbegu nje Ili ziweze kuingia kwa mwanamke Ili kupata watoto. Jambo la kushangaza ni kwamba, wakatoliki haohao ndio wanaokataa viongozi wao wa dini kuoa, kufanya sex na kuwa na watoto, tukianzia na kiongozi wetu mkuu "Papa", hili kweli linakuingia akilini?.
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app