Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hakika
FB_IMG_1685885727717.jpg
 
We produce all of those it's just that our consumption is much higher so we have a deficit. Things like beans we are the 3rd largest producer in Africa just behind you. But agriculture wise in general kenya and Tanzania are at par, some commodities you produce more than us and some we produce more
So you admit indirectly that you guys are many than what is portrayed on the population census!!!!!!
 
wacha upuuzi wewe Slaa alipoamua kuoa aliacha na upadre! Japokuwa kweli alikuwa padri hapo mwanzo!

Wewe jamaa utakua mwanaharamu au mimba yako ilikua ya kubakwa. Haiwezekani uwe na kauli zisizo na stara hivyo. Mbona ni kawaida kwa mapadri ata wakiacha upadri wanaendelea kuitwa padri tu. Alafu wapo mapadri kibao wanawatoto ata Kama hawajaweka wazi. Wala usione nakashifu imani ya mtu. Ata Mimi ni catholic pia. Ila geza punguza kauli za kuudhi tafadhari vinginevyo ukiona post ni ya kipuuzi kausha na pita kimya
 
Huwezi kuwa padre au mtawa na wakati huo huo ukaruhusiwa kufanya sex, au kuwa na watoto. Slaa aliamua kuukana upadre kwanza ndio akaweza kuoa mke, Kama wapo wenye familia na bado ni Mapadre, basi wanajificha machoni mwa watu, yaani wanawaogopa watu kuliko Mungu wanayemuamudu, huo ndio unafiki uliojaa miongoni mwa wanaoamini hizi dini.

Mkuu, watu wengi hujibu hoja ya kufanya sex na kuwa na watoto kwa misingi ya uasili wa maumbile ya binadamu na Dunia, kwamba Mungu ameumba mwanamume na mwanamke Ili waje duniani kuzaana na kuijaza Dunia.

Wakatoliki tumefikia hatua ya kukataza kutumia kondom au kumwaga mbegu nje Ili ziweze kuingia kwa mwanamke Ili kupata watoto. Jambo la kushangaza ni kwamba, wakatoliki haohao ndio wanaokataa viongozi wao wa dini kuoa, kufanya sex na kuwa na watoto, tukianzia na kiongozi wetu mkuu "Papa", hili kweli linakuingia akilini?.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Jibu bado liko pale pale ni sheria walizojiwekea lakini sio kwamba mapdri au pope na watawa hawezi kuzaa au kuzalisha. Mimi sio mshika dini sana lakini Nimekuelewa kuhusu suala la mtu kua na uhuru wa kufanya anavyoona inafaa na havunji sheria yoyote.
 
Azam ina kwaza sana... Kwa resources na facility waliyo nayo walitakiwa kuongoza ligi.. Ila sijui wanakwama wapi.
Undugunization kwenye kuendesha club ambayo inaua professionalism.

Nilazima wawe na professional CEO na bench la nguvu la ufundi. Nimeona kcha wao mpya Msenegal ambaye hata sijui amekua appointed kwa criteria zipi.
 
Back
Top Bottom