joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Sawasawa kaka, huko ndio kukomaa kwa akili, kukubali tofauti za mawazo na misimamo, ni kosa kwa baadhi ya watu kujiona wao ndio wenye haki miliki ya mifumo ya maisha.View attachment 2644442
Umeamua kusapoti ushoga? Katika hili natofautiana na wewe ila kila la heri katika harakati zako.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app