Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii dodoma pia nikitafuta aerial view msema kweli itakuwa tu vituko ...the slum uswazi signature of tanzania towns....haha....I am never blinded by those cherry picked things you want us to see......hiyo mudanganye nayo kina burundi na Mozambique rika zenu
Hatuwez kuwa tunapost humu kila siku halafu wewe unakaza tako . DODOMA haina slum Arial view hii 👇
 
Ninatetea uhuru wa mtu, nilipinga tabia za Magufuli kukandamiza uhuru wa watu, nitapinga mtu yeyote mwenye kukandamiza uhuru wa mtu mwengine bila sababu za msingi.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Unatetea Uhuru wa wanaume kujamiiana na mavi badala ya sehemu husika? Kama huo ndio uhuru wako basi nahisi na wewe utakuwa unafukuliwa hilo septic tako lako.
 
Maisha mapya ya wamasai baada ya kuhama toka Ngorongoro na kwenda Tanga


Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app

Tofauti ya mfugaji wa Tanzania na mfugaji (bandits) wa Kenya ni kama mbingu na shakahola, mfugaji wa Tanzania anaishi kama wanasiasa wa shakahola huku wa shakahola akiishi kwa misaada ya chakula toka Tanzania

 
Watanzania wanahitaji mikopo isio na riba kubwa na rafiki, hii nchi inatakiwa kutoa mikopo mikubwa ya viwanda hasa vya uchakataji mazao na rasilimali tulizonazo kama madini

 
Hili dege letu lina uwezo wa kubeba mzigo wa 10 tonnes trucks 5 na nusu kwa wakati mmoja

images (6).jpeg
images (5).jpeg
 
Watanzania wanahitaji mikopo isio na riba kubwa na rafiki, hii nchi inatakiwa kutoa mikopo mikubwa ya viwanda hasa vya uchakataji mazao na rasilimali tulizonazo kama madini


Wewe uko Tanzania ya wapi? Hufanyi biashara hata ndogo? NMB&CRDB mikopo mathalani ya Kilimo ni 9% tuu kutoka 15% ya miaka ya nyuma na ndio maana Sasa hivi mikopo kwenye Kilimo na mnyoroo wa kilimo.ndio inaongoza.


 
wewe unataka nyumba ziuzwe bei gani milioni 10?
Sidhani kama wewe umefanya biashara practically. Yaani, kwa lugha nyepesi, biashara humlazimishi mteja nini cha kununua. Lazima ujue majority wateja wako uwezo wao ndipo utambue kipi ni biashara na kipi sio biashara.

Huwezi fungua duka la original products za Versace, Louis Vuitton, Dolce & Gabbana, Gucci, Givenchy. South Africa, duka la Versace in Johannesburg liko moja tu, Sandton mall. Kwakua wanye uwezo wa kuafford ni wachache sana.

Hata manufacturers wa magari ya kutembelea kama BMW, Mercedes, VW, Volvo ni ngumu kuweka assembly plant kwenye nchi nyingi za kwetu kwakua wanaitaji uuzaji usiopungua magari 3,000 to 5,000 kwa mwaka. na hatujakuwa na utaratibu mzuri wa kutoa mikopo kwa watu kufanya purchase za lay-by, mortgage.

Yeyote anayefanya biashara hizo hapo juu lazima AFELI.
 
Back
Top Bottom