Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ww ongea hvo hvo hata kwa iran walisema haiwezekani 😁😁😁 sasa nchi zote zimeshtuka misri na turkey wanajengewa na russia
Majuzi tulipobishana hapa kuhusu vyanzo vya nishati, kuna baadhi yetu walisifia umeme wa jua na kupinga nyuklia, eti hatuna uwezo wa kuuendesha., nikajiuliza warusi si wapo? Sasa hata wiki haijapita tunaambiwa Burundi watakuja kuwa na umeme huo, sisi tuendelee kuwa na vilaza kwenye wizara nyetu ndo tutajua hatujui.
 
Majuzi tulipobishana hapa kuhusu vyanzo vya nishati, kuna baadhi yetu walisifia umeme wa jua na kupinga nyuklia, eti hatuna uwezo wa kuuendesha., nikajiuliza warusi si wapo? Sasa hata wiki haijapita tunaambiwa Burundi watakuja kuwa na umeme huo, sisi tuendelee kuwa na vilaza kwenye wizara nyetu ndo tutajua hatujui.
Tunaogopa sana maendeleo ndio shida yetu kubwa sana 😅😅 na lazma tuwe na vyanzo nafuu zaidi ili kuchochea viwanda na uwekezaji
 
Eat this👇🏾👇🏾👇🏾


Of course they are offering it now when they are getting stomped in Ukraine and nobody else wants to visit their pathetic country. Every developed countries citizens are fleeing Russia so they run to poor countries in Africa and South America to try and fill that hole. And here you are bragging about being offered scraps. Where were they before the war?
 
Na hili ni account ya Jeshi la Uganda wakitia ushuhuda wa historia ya jeshi lao la leo na muundo wa jeshi hilo na wah7sika wakuu waliounda jeshi la nchi yao.

Ndio ilivyo kwa Mozambique, Rwanda, Burundi, Zimbabwe, Angola, Namibia, South Africa, Zambia, DRC Congo, S. Sudan.

Nilisahau Seychelles na Comoros.

 
Hii sio level ya stadium halafu mbona hizi pitch zenu zinafanana muundo na vile viti vyenu vya bendera hata kuanzia ulinzi complex ,kinoru , afraha etc kwenye majukwaa vimeacha nafasi vingine havijaungana mmejenga vingivingi kwa mkupuo vile vya zamani kabisa siwezi walaumu ila hivi ambavyo ni vya karibuni aisee hii Ni wastage ya resources hapo utakuta mradi kuna mtu anakula mmeshindwa vipi kujenga kimoja kikubwa kuliko au hizo biggest stadiums ruto alizo wahaidi kipindi kile ?
 
Hii sio level ya stadium halafu mbona hizi pitch zenu zinafanana muundo na vile viti vyenu vya bendera hata kuanzia ulinzi complex ,kinoru , afraha etc kwenye majukwaa vimeacha nafasi vingine havijaungana mmejenga vingivingi kwa mkupuo vile vya zamani kabisa siwezi walaumu ila hivi ambavyo ni vya karibuni aisee hii Ni wastage ya resources hapo utakuta mradi kuna mtu anakula mmeshindwa vipi kujenga kimoja kikubwa kuliko au hizo biggest stadiums ruto alizo wahaidi kipindi kile ?
Tunataka kila wadi iwe na Uwanja hata kama ni mdogo, ndipo Tukianza talanta mtaani, kila wadi ikiwa na timu iwe na Uwanja wa kutumia. Halafu vitazidi kufanyiwa ukarabati hapo mbeleni
 
You know ukisota Kenya uingie tanganyika the cheap ass country unanunua duka nzima na 10k.....ksh.....that's why Subaru boys like partying in the overrated arusha
 
Ndio maana ni cheap.
Kwani wewe pussy hujui kwamba Kenya ni corrupt shit hole country? Nani asiyejua kwamba corrupt shit hole country Kenya ni nchi ya kimavi mavi na rushwa, ni taifa gani linaikaribia Kenya kwa rushwa? Hako ka expressway kana km 27 tu na ni low quality infrastructure as usual lkn kame cost billions of money, subiri muone maana halisi ya value for Money pale expressway ya the most developed country in East and Central Africa itakapokamilika.
 
Serious Business.
Some sample shops are up and running at East Africa Commercial Logistic Center

IMG_7583.jpg


IMG_7585.jpg

IMG_7586.jpg
 
Back
Top Bottom