Chamoto
Platinum Member
- Dec 7, 2007
- 9,856
- 22,191
Majuzi tulipobishana hapa kuhusu vyanzo vya nishati, kuna baadhi yetu walisifia umeme wa jua na kupinga nyuklia, eti hatuna uwezo wa kuuendesha., nikajiuliza warusi si wapo? Sasa hata wiki haijapita tunaambiwa Burundi watakuja kuwa na umeme huo, sisi tuendelee kuwa na vilaza kwenye wizara nyetu ndo tutajua hatujui.Ww ongea hvo hvo hata kwa iran walisema haiwezekani 😁😁😁 sasa nchi zote zimeshtuka misri na turkey wanajengewa na russia
halafu mbona hizi pitch zenu zinafanana muundo na vile viti vyenu vya bendera hata kuanzia ulinzi complex ,kinoru , afraha etc kwenye majukwaa vimeacha nafasi vingine havijaungana mmejenga vingivingi kwa mkupuo vile vya zamani kabisa siwezi walaumu ila hivi ambavyo ni vya karibuni aisee hii Ni wastage ya resources hapo utakuta mradi kuna mtu anakula mmeshindwa vipi kujenga kimoja kikubwa kuliko
au hizo biggest stadiums ruto alizo wahaidi kipindi kile ?