joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hata Mimi sijamuelewa, alikuuliza Kama Kuna kulipia fidia kwa watu waliochukuliwa ardhi yao kupisha Mradi?, ukamjibu ndio lazima watu walipwe fidia, bado akasema ndio maana ni "cheap". Sasa ungesema hakuna kulipwa fidia, sijui angejibu nini.Cheap ukimaanisha nn sijakuelewa? Shida ya kenya miradi mingi sana kuna ufisadi wa kutisha na hili huwez kataa kila mtu anataka ale hapo hapo kwenye huo huo mradi kwann usiwe ghali
Wakenya tayari katika vichwa vyao wameweka majibu ya kutaka kuonyesha kwanini Tanzania miradi mingi inafanyika kwa ufanisi na ni "cheap", kubwa ni kusingizia kwamba ardhi ni bure hatulipi fidia, ndio sababu alitegemea useme hakuna kulipa fidia, ulipomuambia tunalipa fidia, bado alitoa jibu lilelile kwasababu tayari lilikua lipo akilini mwake.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app