Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Hawa jamaa wameamua
Hawa jamaa wameamua
Hio zuga mzee na hii sio mara ya kwanza kusaini mikataba kama hio, museven ni mjanja sana hawezi kuanza ujenzi mpaka kenya wasogeze reli malaba shika maneno yangu
Hii nayo ipo kwenye zile 40k kilometers of tarmacked roads 😂😂😂😂
Kweli Bei za umeme ni kubwa ,lakini energy mix muhimu , ukija ukame wa maana utakuwa wa kwanza kuliaBado bei za umeme no kubwa sana.Chaajabu,wanajenga huo umeme wa jua ambao ni wa gharama kubwa.
Utawezaje kuwa na ukuaji wa viwanda kama bei za umeme ni Juu? Kwanini tusiwaige wachina wanaojenga mabwabwa ya hydro electric kila mwaka? Hivi watanzania tumerogwa?
Mzee unataka hydro kiais GaniBado bei za umeme no kubwa sana.Chaajabu,wanajenga huo umeme wa jua ambao ni wa gharama kubwa.
Utawezaje kuwa na ukuaji wa viwanda kama bei za umeme ni Juu? Kwanini tusiwaige wachina wanaojenga mabwabwa ya hydro electric kila mwaka? Hivi watanzania tumerogwa?
To Beira and direct to Mombasa.Wanunue zambia kisha wapitishe kwenye barabara za nani ? Labda wazunguke nayo huko kongo.
mbona msitumie hiyo route all along?To Beira and direct to Mombasa.
(in MTs)
Kenya ~ 416,803
Ethiopia ~ 152,205
Malawi ~ 93,872
South Africa ~ 82,677
Morocco ~ 82,368
Cameroon ~ 75,116
DR Congo ~ 63,372
Côte d'Ivore ~ 35,993
Madagascar ~ 27,309
Ghana ~ 9,143Hii list inakusaidia nn wakati tukiweka list ya nchi zenye njaa Africa, mpo? June 2nd cargo flight inatua na soon cargo za fruits and vegetables zinaanza kutokea Kilimanjaro!Africa's TOP 10 Producers of Avocados(in MTs)
1.Kenya ~ 416,803
2.Ethiopia ~ 152,205
3.Malawi ~ 93,872
4.South Africa ~ 82,677
5.Morocco ~ 82,368
6.Cameroon ~ 75,116
7.DR Congo ~ 63,372
8.Côte d'Ivore ~ 35,993
9.Madagascar ~ 27,309
10.Ghana ~ 9,143
Data Period:2021
Data Source: FAOSTAT
Côte d'Ivore ~ 38,187 MTs
Egypt ~ 27,724 MTs
Senegal ~ 27,548 MTs
Kenya ~ 19,631 MTs
Mali ~ 14,894 MTs
is the leader in exports of mangoes followed by Thailand
is the leading importer by volume followed by Netherlands
and then Germany
recording a PHL of up to 60%
too experiences high PHL, with KARLO estimating a high of 40%-50%Unapoongelea suala la energy mix hapa akili lazima itumike.Hatuwezi kusema tu energy mix bila malengo, mfano unaacha kutumia coal au uranium,alafu unatumia umeme wa gharama wa jua na upepo kisa tu kuna neno linaitwa energy mix.Kweli Bei za umeme ni kubwa ,lakini energy mix muhimu , ukija ukame wa maana utakuwa wa kwanza kulia
Mkuu, unapotaja uranium, upo serious au unatania?, hata shirika la kimataifa linaloshughulikia mambo ya nuclear haliwezi kutoa kibali kwa Tanzania kuwa na vinu vya "nuclear". Hivi unajua ilivyo vigumu "in handling and disposal of radioactive materials?Unapoongelea suala la energy mix hapa akili lazima itumike.Hatuwezi kusema tu energy mix bila malengo, mfano unaacha kutumia coal au uranium,alafu unatumia umeme wa gharama wa jua na upepo kisa tu kuna neno linaitwa energy mix.
Kiukweli lazima kuwe na back up ya hydro. Lakini hio backup inabidi iwe ya gharama Nauru ili viwanda vikue.
Hii nayo ipo kwenye zile 40k kilometers of tarmacked roads 😂😂😂😂
According to who mama ngina??😆😆Mombasa has better road infrastructure than darView attachment 2639554