Ukishakuwa na energy mix unapata Nini?Energy mix
Energy securityUkishakuwa na energy mix unapata Nini?
Na kama energy mix inaumuhimu sana,kwanini hio energy mix isifanyike katika vyanzo vya umeme wa bei ya chini kama nuclear au angalau coal?
Nilichogundua ni kuwa,wabongo wengi hamjui Nini ķifanyike ili kuondoa umaskini nchini, ndio maana unakuta mtu anashangilia umeme wa jua au upepo ambao ni kutwika watu mzigo ya gharama za bili ya umeme.
Tanzania iliyojaa mito, kwanini tusijenge mabwabwa Zaidi? Ninani ananufaika na bei kubwa za umeme kama si viongozi na vikampuni uchwara vya kipigaji?
Diamond league,Which tournaments?
HUYU NAYO SIWEZI MTETEA,,,VERY CLUELESS ....In a year he shall have sunk The great Kenya bigtime


..Hiyo pesa itakuwa bila interest
...si namna hiyo wangwana? Acha nione kwa mikono..mikono..mikono......mikoo

salaaale.... kumbe nyinyi ni watu wangwana sana


We were conned big tyme...Uhuru had warned us but some thought they know better"Tutaweka billioni hamsini kwa hawa Bodaboda na Mama Mboga tutawatoa kwa CRB ... Si namna hiyo?..Hiyo pesa itakuwa bila interest
...si namna hiyo wangwana? Acha nione kwa mikono..mikono..mikono......mikoo
salaaale.... kumbe nyinyi ni watu wangwana sana
![]()
We were conned big tyme...Uhuru had warned us but some thought they know better
Mwenzenu anamaanisha zile nyumba full suit mabati, kwa bei hiyo inawezekanaYani nyumba ya milioni 5
utanunua wapi ngumba hiyo.? Hiyo haitoshi kununua hata kiwanja chenye maana





Huyu apumzike sasa, hii serikali yake inafanya kazi 90% is to build trust, ukiona Rais kila saa anasema mniamini jua huyo tapeli
Wizara iko chini ya wapiga madili tegemea hvoBado bei za umeme no kubwa sana.Chaajabu,wanajenga huo umeme wa jua ambao ni wa gharama kubwa.
Utawezaje kuwa na ukuaji wa viwanda kama bei za umeme ni Juu? Kwanini tusiwaige wachina wanaojenga mabwabwa ya hydro electric kila mwaka? Hivi watanzania tumerogwa?
Mnatoa wapi ujasiri wa kushindana na sisi kujenga nyumba ili hali hamna ardhi kabisa ardhi ni ya watu wachache huko kwenu na foreignersmost tanzanians can't even afford to buy ksh 300k house..