Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu, usijisumbue kichwa yako, hakuna lolote hapa linaloendelea ni mikutano ya kawaida na kupiga picha tu, jiulize nini kilichosababisha kusambaratika kwa CoW?. Nini kilichosababisha Kenya kushindwa kufikisha reli Yao Malaba hadi Leo?

Tanzania has since registered stunning progress in the development of over 4,000 km of standard gauge railway line as Kenya, Uganda, and Rwanda grapple with financial challenges.

Hii hapa juu ndio sababu kubwa ya SGR ya Northern corridor kushindikana, jiulize hiyo sababu imekwisha au bado ipo?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kwahyo Isaka to Kigali imekufa
 
Wameanza kulana wenyew kwa wenyew
1685171023844.jpg
 
Mkuu, usijisumbue kichwa yako, hakuna lolote hapa linaloendelea ni mikutano ya kawaida na kupiga picha tu, jiulize nini kilichosababisha kusambaratika kwa CoW?. Nini kilichosababisha Kenya kushindwa kufikisha reli Yao Malaba hadi Leo?

Tanzania has since registered stunning progress in the development of over 4,000 km of standard gauge railway line as Kenya, Uganda, and Rwanda grapple with financial challenges.

Hii hapa juu ndio sababu kubwa ya SGR ya Northern corridor kushindikana, jiulize hiyo sababu imekwisha au bado ipo?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
kaka open up ur eyes! July wanasaini mkataba rasmi na Yapi Merkezi! Reli Kampala Malaba inajengwa!
 
kaka open up ur eyes! July wanasaini mkataba rasmi na Yapi Merkezi! Reli Kampala Malaba inajengwa!
Kampala- kigali made alot of sense to both rwanda and Uganda because of the trade volume between them. Uganda kujiunga na reli ya tz ilkua wishful thinking, there was no chance inge happen. But atleast now you have a chance with DRC because there's no way watajoin na rwanda
 
Kampala- kigali made alot of sense to both rwanda and Uganda because of the trade volume between them. Uganda kujiunga na reli ya tz ilkua wishful thinking, there was no chance inge happen. But atleast now you have a chance with DRC because there's no way watajoin na rwanda
Tanzania still has a chance for share of Uganda's cargo, if Tanzania is to built her section to Tanzania Uganda border +400 km! Still we have an upperhand on u! See Mirama Hills! the focus should be Kaabale/Hoima region i.e. the Lake Albert region!
route-map.jpg


Feasibility study has already been done!

TRC-19-20TH-SEPTEMBER-2018-WORKSHOP-DAR-ES-SALAAM-4_page-0001.jpg
 
Kampala- kigali made alot of sense to both rwanda and Uganda because of the trade volume between them. Uganda kujiunga na reli ya tz ilkua wishful thinking, there was no chance inge happen. But atleast now you have a chance with DRC because there's no way watajoin na rwanda
Na haweze kujenga reli museven mpaka mufkishe reli malaba na pesa ya kujenga hamuna na mchina kakataa kutoa mkopo kwasababu hamulipi madeni 😆😆 na mchina kashaona kua ni white elephant project tayari
 
Na haweze kujenga reli museven mpaka mufkishe reli malaba na pesa ya kujenga hamuna na mchina kakataa kutoa mkopo kwasababu hamulipi madeni na mchina kashaona kua ni white elephant project tayari
Na Museveni ni mjanja anataka atakaye kuwa committed kumkaribia ndio aungane naye .


Mimi naona tungewekeza nguvu kubwa kumfikia Burund na DRC
 
kaka open up ur eyes! July wanasaini mkataba rasmi na Yapi Merkezi! Reli Kampala Malaba inajengwa!
Mkuu, ninaweza kuweka rehani hii account yangu, hivyo vitu ni ndoto za mchana, wewe umeona wapi ujenzi wa miundombinu mikubwa Kama hiyo inaanza kwa kusaini mikataba na mjenzi badala ya "Financer/Funder?", au nao wameamua kuanza ujenzi kwa kutumia pesa zao za ndani?.

Naomba unijulishe kitu kimoja, hivi kwa hali ya uchumi wa Kenya hivi Sasa ambapo hata mishahara tu wanategemea kukopa ndio walipe mishahara, wapi watapata pesa za ujenzi wa reli?, Kibaya zaidi ni kwamba kipande kilichokamilika kinatengeneza hasara wanashindwa kulipa deni, nani atakayeweza kutoa pesa zake ktk mradi ambao anajua wazi hauwezi kurudisha deni?.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom