ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,262
Siasa Kila mahali 🤣🤣
Waswahili wameshindwa kuwa wastaafabu
Ninkutafuta hao viongozi na kuzabua makofi yaani mtu mweusi kwenye tamaa ndogo ndogo ndio akili yake imeishia hapo.Haya yote wameyataka viongozi wa yanga hawajaweka utaratibu mzuri wa ticket mambo ya ovyo kabisa ticket zinanunuliwa na wachache alaf wanakwenda kupandisha bei ovyo ovyo watu wanatapeliwa ovyo pale nje ya uwanja na kuna kampuni inaitwa faras wamewatapeli wananchi nje pale alaf serekali iko inaangalia tu, tunashindwa kujifunza kwa wenzetu ulaya huko namna ya kukata ticket
Yani ujinga wa hali ya juuNinkutafuta hao viongozi na kuzabua makofi yaani mtu mweusi kwenye tamaa ndogo ndogo ndio akili yake imeishia hapo.
Hali ilivyo ndani kwa mkapa saa chache kabla ya mchezo
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
most tanzanians can't even afford to buy ksh 300k house..
Dokii ni mbongo sio mshakahola uyoMkenya mwenzao dokii nae kaja kushabikia yanga




Compare this building to your residential palace 🤣🤣🤣Checki tu City Hall pekee
View attachment 2638115
Kama mnajenga hadi nyumba za 300Ksh no wonder kila siku nyumba zenu zinaanguka







🤣🤣🤣 Yani nyumba ya milioni 5 🤣🤣 utanunua wapi ngumba hiyo.? Hiyo haitoshi kununua hata kiwanja chenye maanaKama mnajenga hadi nyumba za 300Ksh no wonder kila siku nyumba zenu zinaanguka
Hizi hutaki sio ama umekasirika.?Mbingu na ardhi 👇👇👇👇
View attachment 2638175View attachment 2638176View attachment 2638177
Nairobi CBD 🤣🤣🤣
View attachment 2638178
ndo nini hio uchafu umebeba uchafuMbingu na ardhi 👇👇👇👇
View attachment 2638175View attachment 2638176View attachment 2638177
Nairobi CBD 🤣🤣🤣
View attachment 2638178
Nyumba ya Milioni Nne ?![]()
