Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Na kwa nini mnapoteza pesa kujenga capital mpya tangu 1970 wakati mna maskini wengi kupindukia ukanda huu wa Afrika?
Huduma za serikali kwani lazima uende Dar au Dodoma? 21st century bado mnajaribu kuweka capital iwe katikati ya nchi ni upuzi
Upuuzi ni kuweka kila kitu Nairobi as as for us tuna spread maendeleo kila sehemu na mind you headquarters za government companies and institutions will be spread to every region depending on the nature of business.
 
Upuuzi ni kuweka kila kitu Nairobi as as for us tuna spread maendeleo kila sehemu na mind you headquarters za government companies and institutions will be spread to every region depending on the nature of business.
Kenya tumeweka kila kitu Nairobi vipi na kuna ugatuzi?
County goverment na Huduma centres ambazo ziko kila County zinahakikisha mkenya anaweza zaliwa na kufa bila kuwahi kanyanga Nairobi kwa sababu ya huduma za kiserikali including kupata passport, birth certificate, pension, jobs, etc

Danganyika hamna ugatuzi, viongozi wa mkoa wanachaguliwa na serikali ya kidikteta ya CCM 🤣🤣
 
Kenya tumeweka kila kitu Nairobi vipi na kuna ugatuzi?
County goverment na Huduma centres ambazo ziko kila County zinahakikisha mkenya anaweza zaliwa na kufa bila kuwahi kanyanga Nairobi kwa sababu za Huduma za kiserikali including kuoata passport, birth certificate, pension, jobs etc
Kweli wakenya wengi wanakufa bila kufika Nairobi
 
Watanzania hapa mnaongea sana kama wanawake.. wekeni picha bana tulinganishe Dar na Nairobi kama mada ilivyokusudia, maneno mengi ya nini?
 
You live in dar but do not know what that is called😅 wadau
Screenshots_2023-05-21-21-51-54.png
 
Alikuwa na maono mno. Muda unazidi kumprove right.
Katika hii hotuba yake alizungumza kwamba "dhambi ya ubaguzi haiwezi kuisha, lazima itaendelea


Ninalinganisha na kinachoendelea Sudan hivi Sasa. Hawa waarabu walianza kuwatenga watu weusi wa kusini kwa kisingizio kwamba sio waislam. South Sudanese walipoanzisha vita vya kujitenga, raia wa Jimbo la Darfur ambao ni weusi lakini ni waislam, waliungana na waarabu kuwapiga watu wa South Sudan.

Wakati South Sudan wanakaribia kushinda na kupata Uhuru wao, watu wa Darfur nao wakaanza kubaguliwa kwa kigezo Cha rangi zao, Omar Albashir, rais wa Sudan wakati ule, alianzisha kikosi Cha Janjawed, ambacho 90% ni waarabu wanaoishi Darfur Ili kuonyesha Dunia kwamba hana ubaguzi Wala ugomvi na watu wa Darfur. Hawa Janjawed waliua raia wa Darfur weusi zaidi ya laki 3.

Baada ya Dunia kuingilia kati na kupeleka majeshi ya kulinda amani huko Darfur, Janjawed wakaamua kuondaka huko Darfur na kuja Khartoum kuwa kundi maalum la wanamgambo chini ya Albashir, lakini kwa sababu sio wenyeji wa Khartoum, wao wametoka mashambani, wakaanza kubaguliwa na wakuu wa jeshi ambao waliwakuta hapo Khartoum. Wameamua nao kupigana kupinga kubaguliwa.

Conclusion: Dhambi ya ubaguzi ni Kama kula nyama ya mtu, ukishakula nyama ya mtu, utaendelea tu....
 
Back
Top Bottom