Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ambao hawalipi kodi ni wale wa kisiasa wanaoteuliwa na Rais, pamoja na rais mwenyewe.
Rais, makam rais, waziri mkuu na mawaziri, majaji, RC, DC hao tu ndo hawalipi kodi.. lakin wengine wote tunalipa kodi PAYE na pia hakuna hata mtumishi wa umma anaelipa kodi kwenye posho.
Kwa mbunge, mshahara wake (basic) ni mil 4.6 ila kila anapoingia bungeni na kusaini posho ya siku Tsh 330,000 ndo unapata gross salary inakuwa 12 milioni kwa mwezi, kama hauingii bungeni unaambulia tu 4.6 mil.
Kweli kabisa, wafanyakazi wengine wa umma posho ni ya manati, hivyo inaeleweka wao kutolipa kodi ila wabunge posho kila wakiingia bungeni, ni kama ujira wao rasmi. Hiyo pesa ya posho inatakiwa ilipiwe kodi kama Bashe alivyosema.
 
Kweli kabisa, wafanyakazi wengine wa umma posho ni ya manati, hivyo inaeleweka wao kutolipa kodi ila wabunge posho kila wakiingia bungeni, ni kama ujira wao rasmi. Hiyo pesa ya posho inatakiwa ilipiwe kodi kama Bashe alivyosema.
Hizo zinajumuisha hata wasaidizi wa wabunge, mafuta, sijui chakula, nauli, hotel etc ila haziwatoshi kwa kweli 😐
 
China ilitawaliwa Kama ilivyotawaliwa Africa, Kumbuka historia ya Mfalme Leopard wa Ubelgiji alivyotawala DRC, alichukua Mali zote na kufanya udhalimu mkubwa, kwahiyo hata China ilidhulumiwa Kama tulivyodhulumiwa sisi waafrika, Kumbuka enzi hizo hakukuwa na marufuku au uharamu wa bidhaa yoyote Ile, iwe ni madawa ya Kulevya, binadamu wazima au hata viungo vya binadamu, biashara zote zilifanyika katika makoloni yote.

Jambo la kuishangaza ni kwamba baada ya ukoloni, China na nchi zingine zilizotawaliwa, zilijipanga na kuangalia madhahifu Yao yaliyosababisha kutawaliwa na kunyanyaswa na kuyarekebisha, Africa na nchi zingine badala ya kukaa na kujitathmini madhahifu Yao, tumebaki kuwalalamikia wazungu kwa mapungufu yetu wenyewe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kaka, Afrika hatuna hata miaka 70 toka tupate Uhuru, Wachina wanamiaka 200 tena hawakutawaliwa kiivyo kama sisi. Let's move on na battle, tunawachosha wenzetu.
 
Duh, yaani wanatukamua hivi, na bado wanatumia bunge kama mdhanimi kukopa?
Haziwatoshi kwa maana sio hawaridhiki nazo, no, ni haziwatoshi kuwahudumia.. mil 12 kwa mbunge ni maisha magumu sana.. ndo mana wanakopa..
afu na wao wana standard zao pia.. so kutegemea mshahara tu watakuona mtu wa chini..so wanajikakamua wakope waonekane na wao wako vizur kama wengine madosi (mf unaona mbunge mwenzako either ana shule, hotel, sijui mradi gan mkubwa.. bas lazima na wew utataka uwaige).. lkn mikopo ndo inawaumizaga kwa kutaka kuonekana wao vizur pia kwa kujilanganisha na wabunge wengine wajanja mjini

Mf wa wazi, Zitto kabwe ana kaghorofa dodoma mpk leo halijaisha.. na ana madeni kibao, mda wowote litapigwa mnada🤣
 
Haziwatoshi kwa maana sio hawaridhiki nazo, no, ni haziwatoshi kuwahudumia.. mil 12 kwa mbunge ni maisha magumu sana.. ndo mana wanakopa..
afu na wao wana standard zao pia.. so kutegemea mshahara tu watakuona mtu wa chini..so wanajikakamua wakope waonekane na wao wako vizur kama wengine madosi (mf unaona mbunge mwenzako either ana shule, hotel, sijui mradi gan mkubwa.. bas lazima na wew utataka uwaige).. lkn mikopo ndo inawaumizaga kwa kutaka kuonekana wao vizur pia kwa kujilanganisha na wabunge wengine wajanja mjini
Ni wao tuu kutokuwa na akili ya kibiashara, hao wakina Msukuma, Aboud na hata Dewji wametumia bunge kuombea mikopo kwenye biashara zao. Hata wewe ungeweza kupata mdhamini wa kukukingia kifua benki kupata mabilioni ungefanya mara elfu ya unayoyafanya sasa.
 
Ni wao tuu kutokuwa na akili ya kibiashara, hao wakina Msukuma, Aboud na hata Dewji wametumia bunge kuombea mikopo kwenye biashara zao. Hata wewe ungeweza kupata mdhamini wa kukukingia kifua benki kupata mabilioni ungefanya mara elfu ya unayoyafanya sasa.
Hao uliwataja ni matajiri hata kbl hajawa wabunge.. utajiri wao ndo umewaingiza bungen, kuwa bungen sio sababu ya kukufanya uwe tajiri, japo wanachofaidika nacho ni kinga za kisiasa wakiwa wabunge.. wakitoka huko wanaanza kufilisika, na sio kila mbunge ana akili ya biashara kwamba wote wana mafanikio.. wengi tu (ukiachana na wale madoni au wajanja) ni mafukara na wana msongo wa mawazo ya kimadeni

Mfano, kuna mbunge mmoja dodoma amefungua kiwanda cha alzet (ndo standards zao hizi, miradi mikubwa mikubwa).. kina mpa hasara vibaya sana na amekopa.. raw materials zenyewe anategemea wakulima, ambayo hapati kwa kiwango kinachotakiwa.. huyu huwez kusema ana mafanikio.. hasara na madeni yake ni makubwa kuliko hata asset zake
 
BRT phase 4 .? 🤣 Hawa jamaa watakula chuma vibaya mno Nicxie mtazificha wapi sura zenu, miradi ya kimkakati ndio hivyo tena 🤣🤣🤣
Battle inazid kua ya moto ndugu kuna siku niliwaambia apa kuna wwatu umu ndani watakimbia..
ALFU juzi apa kuna paka mmoja anasema battle imejaa utoto inshort wameshindwa 😁 😁 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom