Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bongo tulizindua huu mradi uka trend humu siku kadhaa halafu Wana wakapotezea kama hakijatokea kitu
IMG_3711.jpg
20230107_185627.jpg
 
RWANDA AND UGANDA ARE GOING WITH THE KENYA SGR
 
Hii tabia ya kuwapa magari na nyumba viongozi wastaafu sikubaliani nayo na inatakiwa iondolewe kabisa.. hawa viongozi walikuwa ni watu waliokuwa wanachukua mishahara ya juu zaidi kuliko wengine wote kwenye taasisi zao na pamoja na posho kibao na pengine 'walikula sawa na urefu wa kamba zao'.. sasa sioni sababu ya kuwapa hizi zawadi wakistaafu
Hata mm napinga kwa nguvu zote huu ujinga.
 
What else.? 🤷. Magufuli bus terminus
Screenshot_20230526-173012_2.jpg
Screenshot_20230526-173122_2.jpg
Screenshot_20230526-173118_1.jpg
Screenshot_20230526-173247_1.jpg
hata tulivyozindua huu mradi, Wana waliupost siku kadhaa halafu wakakausha kama hakijatokea kitu vile.. mwaiofhawaii pitia ujifunze bongo wewe..
Screenshot_20230526-173206_1.jpg
bongo ni unyama sana, stendi ya daladala kubwa Iko pembeni ya stendi kubwa ya Mabasi .. transportation system ya Bongo ipo very organized ..
 
Huwa nashaa sana hawa kima wa north wakiita Tz state house ati ni mosque
ikulu1.jpg
.. this is UAE residential palace ni Arabi architectural design.wote tunajua hivyo 👇
abu-dhabi-bay.jpg
91711b58376eb5fb5c5a5ccbca973290.jpg
beautiful-sunset-panoramic-view-of-qasr-al-watan-presidential-palace-in-abu-dhabi-uae.jpg
hii nayo mtaita ni mosque pia .? Mana kwa uelewa wangu mimi nchi zote zenye zilipata civilization miaka ya kale huwa wako na architectural design unique zao.. ambapo ukiona tu jengo fulani unajua hii ni German design, American design, or British architectural design mfano hii English thams town in Shanghai.. 👇
thames-town-shanghai-winter-walk-2021-video.jpg
👇. .. kwa nini sis tukipenda kujenga designs za kiarabu hawa kondoo wanabeza ATI ni misikiti.? Au ni ignorance inawasumbua.? Au ni mentally za kipuuzi kwamba lazima kitu kiwe kama cha kizungu ndio kionekane kwamba ni kizuri.? Mashashola nairobae Nicxie. mwaiofhawaii. Njoeni mnipe majibu nyie vima
 
Mkuu punguza dhaania, Obama alitaka kuchimba kipindi chake japo kupunguza utegemezi wa nchi za OPEC ambazo zilikua zikipandisha bei kwa Kasi, ulisikia wajumbe wa "Congress" walivyomjia juu kwa kigezo Cha mazingira?, Mkuu unaishi dunia gani?.

Jambo lingine inaonekana mkuu bado hujazunguka Dunia, Egypt inategemea maji ya mto Nile kwa matumizi yake by 98%, Kwao mto Nile ni muhimu "next to Oxygen". Kwahiyo katika hali hiyo unahisi hawana sababu yoyote ya kuulinda huo mto wao wenyewe hadi wazungu ndio wawatumie?. Mkuu inaonekana unawaogopa wazungu hadi unapitiliza.

Mkuu, tulishapata uhuru miaka ya 60s, amka mkuu na achana na kuwawaza wazungu kiasi hicho, mkuu wazungu ni watu wa kawaida mno, usiwaogope hivyo. Umemsikiliza Museven akitaja sababu za vita vingi hapa Africa?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Sera ya Marekani ni kuchimba kidogo kwake na kununu mafuta mengi nje, hao waliopinga kuharibu mazingira ilikuwa kupinga aina ya uchimbaji unaoitwa fracking (look it up). Husikii wakisema "drill baby drill" kwa sababu Hydraulic Fracturing (fracking) ni ghali sana, bei ya sasa ya mafuta hailipi.

Hizo sera za Egypt wao kuwa na haki ya kutumia mto nile ni sera za kikoloni ambazo ziliwekwa na Uingereza. Kila mtu anahaki ya kutumia maji ya mto huo kwakwe, hata sisi tulikuwa eti tunakatazwa kutumia maji ya ziwa victoria, haya ni mambo ya kijinga.

Tuuache huu mjadala, tukubali kutokukubaliana.
 
Hata maraisi sioni sababu ya wao kupewa nyumba ni matumizi mabaya ya fedha za umma pensheni zinawatosha, sasa mtu kama kikwete na mwinyi wanashida gani mpaka wajengewe nyumba huu utaratibu aliounzisha jpm hapa kidogo alifeli
Aliyeanzisha siyo JPM, yeye alitekeleza tuu, mwanzishi ni Mkapa, hii ni baada ya Mwalimu kufariki bila ya kuwa na "jumba la hadhi yake".

Miaka ya tisini jeshi walimtembelea Mwalimu Nyumbani kwake na kumwambia, Mwalimu tunaomba tukujengee nyumba kubwa...". Mwalimu akawaambia, "mnataka kunijengea nyumba kubwa kwani mimi tembo?" Jeshi ndipo walipomjengea ile nyumba ya mawe Butiama.

Sasa Mkapa akaweka sheria ya kuwajengea nyumba za hadhi ya urais, marais wastaafu, ili isije tokea kama kwa Mwalimu. Kikwete na Mkapa hawakutekeleza hiyo sheria. JPM alikuja kutekeleza mipango yote iliyokuwa kwenye makabrasha.
 
Back
Top Bottom