Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Aliyeanzisha siyo JPM, yeye alitekeleza tuu, mwanzishi ni Mkapa, hii ni baada ya Mwalimu kufariki bila ya kuwa na "jumba la hadhi yake".

Miaka ya tisini jeshi walimtembelea Mwalimu Nyumbani kwake na kumwambia, Mwalimu tunaomba tukujengee nyumba kubwa...". Mwalimu akawaambia, "mnataka kunijengea nyumba kubwa kwani mimi nimekuwa tembo?" Jeshi ndipo walipomjengea ile nyumba ya mawe Butiama.

Sasa Mkapa akaweka sheria ya kuwajengea nyumba za hadhi ya urais, marais wastaafu, ili isije tokea kama kwa Mwalimu. Kiwete na Mkapa hawakutekeleza hiyo sheria. JPM alikuja kutekeleza mipango yote iliyokuwa kwenye makabrasha.
Tukumbuke Wabunge, Marais na Wanajeshi hawalipi kodi!
 
What else.? . Magufuli bus terminusView attachment 2635652View attachment 2635653View attachment 2635654View attachment 2635656hata tulivyozindua huu mradi, Wana waliupost siku kadhaa halafu wakakausha kama hakijatokea kitu vile.. mwaiofhawaii pitia ujifunze bongo wewe.. View attachment 2635659bongo ni unyama sana, stendi ya daladala kubwa Iko pembeni ya stendi kubwa ya Mabasi .. transportation system ya Bongo ipo very organized ..
Hawa Wakenya hawatuwezi hata kidogo, basi tu tunaliwazana humu.
 
Nafikiri Mh Bashe (rais mtarajiwa, 🙂) amelielezea vizuri hili kuwa siyo sawa. Wabunge wengine wamekuwa wakiuchuna.
Ambao hawalipi kodi ni wale wa kisiasa wanaoteuliwa na Rais, pamoja na rais mwenyewe.
Rais, makam rais, waziri mkuu na mawaziri, majaji, RC, DC hao tu ndo hawalipi kodi.. lakin wengine wote tunalipa kodi PAYE na pia hakuna hata mtumishi wa umma anaelipa kodi kwenye posho.
Kwa mbunge, mshahara wake (basic) ni mil 4.6 ila kila anapoingia bungeni na kusaini posho ya siku Tsh 330,000 ndo unapata gross salary inakuwa 12 milioni kwa mwezi, kama hauingii bungeni unaambulia tu 4.6 mil.
 
Battle ni maneno matupu tuu..

Hakuna miradi mipyaa..

Maneno ya mshakahola mmoja..
IMG-20230526-WA0057.jpg
 
RWANDA AND UGANDA ARE GOING WITH THE KENYA SGR
UNAJUA WAACHENI WAENDE ZAO AKUNA WA KUTUTISHA APA NCHI INAJITOSHELEZA KWA KILA KITU...
 
Back
Top Bottom