chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,315
- 45,115
Pamoja na hizi, zote tarmacked 🤣😅😂Hii ni Moja Kati ya zile kilometers 40000 za mtandao wa lami zilizoko kenya
Pamoja na hizi, zote tarmacked 🤣😅😂Hii ni Moja Kati ya zile kilometers 40000 za mtandao wa lami zilizoko kenya
Kuna mkoa Tanzania hakuna hospital ya rufaa?Kwani Tanzania hua mnatibiwa kwa capital city pekee? Au chakula manendea capital city ya CCM?
Rais ata akilala kwake sio I shida bora anafanya kazi yake. Kila mkoa unafaa kua na hospital ya rufaa
Kati ya mashakahola yenye matatizo sugu we unaongozaMahali huwezi pewa passport bila idhini ya CCM ni bure, Kenya unaapply online
Shakahola ni nchi ndogo sana lakini counties zao 47 hazijaunganishwa kwa lami zote, ila walivyo wapumbavu wanajidanganya wana 40k kilometers za lamiHata magufuli alisema ataunganisha Kila mkoa kwa lami watu hawakuamini ila mdogo mdogo Kila Kijiji kitaunganishwa kwa lami Sijui wale wa mtandao wa barabara kilometers 40000 zisizoonekana zilizoahidiwa na uhuroto zimifikia wapi
In Tz kila mko una hospitali ya rufaa kama kwenu hakuna usitufanye tulingane.Kwani Tanzania hua mnatibiwa kwa capital city pekee? Au chakula manendea capital city ya CCM?
Rais ata akilala kwake sio I shida bora anafanya kazi yake. Kila mkoa unafaa kua na hospital ya rufaa
Hata sisi tuna apply online piaMahali huwezi pewa passport bila idhini ya CCM ni bure, Kenya unaapply online
In Tz kila mko una hospitali ya rufaa kama kwenu hakuna usitufanye tulingane.
Ni Capitol Hill bana (with 'o').So unabisha Capital Hill Ndo Ikulu USA!? Kweli Watanzania wengi vichaa!!!
You live in dar but do not know what that is called😅 wadauAlaf ndio hii 😆😆😆 hii ni ocean au river??
View attachment 2631600
Hana akili huyoNdio fikra zenu zilipoishia
Tanzania e-Immigration Online Portal
Tanzania Immigration Department e-Service › ...
Tanzania Passport Application
Tanzania sio banana republic Kama huko kwenu ShakaholaKwani Tanzania hua mnatibiwa kwa capital city pekee? Au chakula manendea capital city ya CCM?
Rais ata akilala kwake sio I shida bora anafanya kazi yake. Kila mkoa unafaa kua na hospital ya rufaa
Utadhani kweli vile, kumbe ukute anatokea kibera au kaliadudu.My cousin who lives in Houston is part of the Mombasa/ Nairobi PPP project…..waiting for bureaucracy to sort itself out… I will give you more details later….
Huwa wanadhani mpaka Tz inaonekana iko digital zaidi kuliko nchi yoyote EA ni namba tu zimewekwaNdio fikra zenu zilipoishia
Tanzania e-Immigration Online Portal
Tanzania Immigration Department e-Service › ...
Tanzania Passport Application







Hivi Kuna yeyote raia wa Shakahole aliyejitokeza?Atoke mkenya anioneshe viingilio kama hvi kwenye michezo ya mpira wa miguu
Royal 200,000 tsh = 12,500 ksh
VIP A 100,000 tsh= 6250 ksh
VIp B 30,000 tsh = 1,875 ksh
VIP C 15,000 tsh = 940 ksh
Mzunguko 5000 tsh = 320ksh
Hili jambo alilikataa Nyerere, yule Babu sijui kwanini hadi Leo Vatican hawajamtangaza kuwa "Mtakatifu", huwa ninafuatilia Sana hotuba zake, hajawahi kosea.Hili jambo la uraia pacha ni mwanzo wa kuharibu nchi. Kwa maslahi mapana ya taifa na Watanzania tuachane nalo kabisa.
Kwa idhini ya CCM 🤣🤣Hata sisi tuna apply online pia
Na kwa nini mnapoteza pesa kujenga capital mpya tangu 1970 wakati mna maskini wengi kupindukia ukanda huu wa Afrika?In Tz kila mko una hospitali ya rufaa kama kwenu hakuna usitufanye tulingane.