If a student in the US was asked what’s the official residence of the POTUS and they respond ati Capitol Hill… probably they teacher would order a mandatory drug test…🤣🤣🤣🤣🤣🤣….. Tanganyika is full of sponge bobs and Patricks….🤣🤣🤣🤣🤣🤣So unabisha Capital Hill Ndo Ikulu USA!? Kweli Watanzania wengi vichaa!!!
My cousin who lives in Houston is part of the Mombasa/ Nairobi PPP project…..waiting for bureaucracy to sort itself out… I will give you more details later….Nairobi to Mau Summit over 200km of dual carriageway is in the works as we speak. Mombasa to Nairobi is in the pipeline but this one will be under ppp
Pori lote hilo surely naipori 70% not developed
Kuhamisha na kujenga majengo ya serikali Dodoma ni wastage ya pesa wakati wanafunzi hawana madarasa na umaskini umezidi kupindukia. Mambo ya kiserikali 21st century yanafanywa online huku Kenya sio kuandamana kwa capital city kila wakati.
![]()
Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga
Uamuzi wa kujenga Makao makuu Dodoma ni moja ya uamuzi wa kipuuzi sana ingekuwa ni nchi zinazo jitambua hili lingetosha kuadhibu Serikali, Bahati sisi raiahatujitambui kabisa. Yaani hakuna Raia anaye sikitikia gharama kubwa za kujenga Offisi Dodoma bali tunashangilia wote. Sisi wajinga sana...www.jamiiforums.com
Kwani Tanzania hua mnatibiwa kwa capital city pekee? Au chakula manendea capital city ya CCM?Kwahio mgonjwa anatibiwa online? Raisi analala online? Chakula mnapika online?
FRIEND,
Kuhamisha Makao makuu toka Dar es salaam was a great move. Ila Dodoma wasn't the best area for a capital. I think Iringa was more suitable. The weather,soil structure and the locals are the best comparing with Dodoma
I heard its Betchel constructingMy cousin who lives in Houston is part of the Mombasa/ Nairobi PPP project…..waiting for bureaucracy to sort itself out… I will give you more details later….
Mahali huwezi pewa passport bila idhini ya CCM ni bure, Kenya unaapply onlineSijaongea mimi ni WB. Porojo peleka Mathare na pipeline
View attachment 2631790![]()
Tanzania Shines Globally Over ICT Use in Government
A NEW report by the World Bank (WB) has listed Tanzania as among countries in the globe with effective use of Information and Communication Technology (ICT) in delivering public services.allafrica.com
Ile ni habari nyingine aise!nangoja High court building Dodoma ikamilike!
Ndio fikra zenu zilipoishia 🤣🤣🤣Mahali huwezi pewa passport bila idhini ya CCM ni bure, Kenya unaapply online
Huo ni uwanja wa Kijiji au ndo stadium kwa Kenya?Construction at Dandora stadium started and progressing well
View attachment 2628897View attachment 2628898
Na kuna ile ofisi ya NEC (uchaguzi house) pamoja na kituo cha kisasa cha kuhesabi kura na kutangazia kura ni nzuri piaIle ni habari nyingine aise!
Subiri SGR ianze kaka,wataliaHii kitu imewauma sana lakini mm nashangaa bado kuna miradi zaidi ya 200 inakuja sijui watakua kwenye hali gani??😆😆 View attachment 2630725View attachment 2630726View attachment 2630727View attachment 2630728View attachment 2630729
Tanzania ina districts 187 zote zinaunganishwa na lami
Kunyaland ina counties 47, hata 23 tu hazijaunganishwa kwa barabara za lami 😂😂😂
Watasema wana kilometers nyingi za lami
Hii ni Moja Kati ya zile kilometers 40000 za mtandao wa lami zilizoko kenyaTarmac zenyewe ndio hizi?
Huku ni shakahola watu hawataki kuishi 😂😂😂
View attachment 2629131View attachment 2629134View attachment 2629135
Cha ajabu mnaongozwa na familia na kabila Moja wakijiita majina tofautiKenya is a multiparty system of government…. Kwenu CCM ni mama na Baba …. Opposition exist in paper only…🤣🤣How can any foreign observer miss to see that…. 🤣🤣🤣🤣