ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,426
- 85,254
So unabisha Capital Hill Ndo Ikulu USA!? Kweli Watanzania wengi vichaa!!!We unazungumzia nini tahira wewe.?
Mkuu, Kenya tunaweza kuitingisha, vipi kuhusu China, India, na mataifa yenye nguvu kiuchumi ambayo hata viza tumeshindwa kuwawekea wanakutana nayo Airport?.Hiyo ita fall under bilateral agreement tutaweka clause ngumu na wao waweke hivyo hivyo.
Ikulu ndogo dodoma👇👇Deputy president's residence in Karen
View attachment 2631520
Gulfstream G550 itakuwa inatambaa hapo bila wasiwasi nadhani itakuwa ni mojawapo ya Ikulu chache sana duniani yenye private runway.
Kwanini na maandamano msifanye "online?"Kuhamisha na kujenga majengo ya serikali Dodoma ni wastage ya pesa wakati wanafunzi hawana madarasa na umaskini umezidi kupindukia. Mambo ya kiserikali 21st century yanafanywa online huku Kenya sio kuandamana kwa capital city kila wakati.
![]()
Uamuzi wa kujenga Majengo ya Serikali Dodoma ni Uamuzi wa Kipuuzi, wanaoshangilia ni wajinga
Uamuzi wa kujenga Makao makuu Dodoma ni moja ya uamuzi wa kipuuzi sana ingekuwa ni nchi zinazo jitambua hili lingetosha kuadhibu Serikali, Bahati sisi raiahatujitambui kabisa. Yaani hakuna Raia anaye sikitikia gharama kubwa za kujenga Offisi Dodoma bali tunashangilia wote. Sisi wajinga sana...www.jamiiforums.com
Hapo hata boeing 737 inaweza kushuka hzo bombadier zinashuka zile fokker na aina hzoGulfstream G550 itakuwa inatambaa hapo bila wasiwasi nadhani itakuwa ni mojawapo ya Ikulu chache sana duniani yenye private runway.
Kenya is doing a very extensive road project at the Coast. This road project is dual and has very long ocean bridges but no one talks about it. Mwache bridge was completed a week ago.
View attachment 2631591View attachment 2631592View attachment 2631594


