Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hii ata Kilimani haiezani
Hata sisi tunaona 😆😆😆
IMG_1570.JPG
IMG_1569.JPG
IMG_1568.JPG
 
Wewe ni mjinga sana… hii ni US Congress ( Parliament Yao)…..inaitwa Capitol Hill coz iko capitol City Washington DC…. sio ikulu …. Ikulu ni the White House kama vile Kimbg alisema…I have been to DC … White House ni ndogo kuliko state house Nairobi….. sometimes size doesn’t matter but the prestige of the building…. I bet Nairobi State House carries more weight than that Chamwino Mosque…🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Nakunya hapa hadi kwetu Tanga
 
Tutapoteza pesa nyingi Sana kuliko hizi. Wageni wote wanaotaka kuwekeza au kufanyakazi nchini wanalipa pesa nyingi Sana, kukiwa na "dual citizenship", hizo pesa hatutozipata, ni pesa nyingi sana.
I doubt it. Si kila mgeni anayekuja Tanzania anahitaji kuwa mtanzania. Wengine wanakuja kufanya shughuli zao na wanalipa fees Kwa kadri ya sheria zisemavyo.

Wale wanaohitaji kuwa nationals Mara nyingi wana spouse mtanzania au ni watoto ambao mzazi wao mmoja ni mtanzania. Unaona ni Sawa kuwazuia hawa watu uraia?
 
Tanzania is far ahead of Kenya in rankings of democracy.
Yes in CCM rankings..🤣🤣..I thought you are more communist than a democracy…. A true Democracy does not involve one party autocratic rule….You have had one party rule since independence….. TANU is CCM….same animal just different clothes.. 🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu, kwanza hiyo habari ya Uganda kusaini na Yerp markezie Wala haina maana sana, muhimu ni kupatikana kwa pesa, sioni Uganda kupata hiyo pesa kwasababu hakuna muunganiko na Kenya.

Sababu zilizosababisha China kutoendelea kuwakopesha Kenya, ndio hizo hizo zitakazotumika kuinyima Uganda.

Kuhusu Rwanda kuchelewa ujenzi wake, hilo sio tatizo, muhimu ilikua ni kuwatoa Rwanda kutoka Northern corridor, jambo ambalo tumefanikiwa, hivi Sasa Rwanda imejiunga kwetu, hata wachelewe kujenga lakini tayari hawawezi tena kurudi Northern corridor. Uganda ndiyo nchi yenye shida kwa Sasa.
Rwanda wamerudi Northern corridor!
 
Rwanda wamerudi Northern corridor!
You beat me to it…. Now you know why KDF is treading carefully against M23 …. As I said before, there are many National interest issues pertaining to Kenya, DRC and Rwanda……the only common thing is we all want peace and security but varied interests…..DRC is not our neighbor…. You don’t think we just packed our bags and troops and headed there because Kenya was threatened…. Definitely not…leave .Political economy and Foreign Policy alone… it’s way above your comprehension….🤣😂😂😂
 
Back
Top Bottom