Hahahaha, mkuu Jana uliniambia niangalie teuzi za Magufuli, nikakuambia tupitie Baraza la mawaziri la Magufuli tuangalie idadi ya mawaziri wasukuma vs idadi ya wasukuma wote hapa nchini, Kisha tutafute uwiano tuone Kama kulikua na wasukuma wengi kuzidi kabila zingine, hujanijibu hadi Leo.
Hapa Tanzania, wasukuma wanaishi katika mikoa minne, Mwanza, Shinyanga, Geita na Simiyu. Tulinganishe uwekezaji uliofanyika Kigoma na Simiyu, au Shinyanga kwa kuangalia idadi ya watu enzi za Magufuli Kama Kuna tofauti.
Mkuu Wacha kujishusha kiasi hicho, hakuna ushahidi wowote unaoonyesha kwamba Magufuli alikua mkabila, ila wewe unaoonyesha chuki na chembechembe za ukab