Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna siku Kenya itafananishwa na Tz kamwe haiwezi kutokea labda dunia iumbwe upya, hawa wanalazimisha tufanane kwa kutaja eti uswazi, sasa uswazi utafananisha na ma slums yao yaliyotapakaa Kenya nzima? Kingine ni uchafu uliopindukia na kutokuwa wastaarabu, yani hakuna ufanano kabisa, ninachoona hapa ni kwasababu tupo jirani, hata Uganda au Rwanda wanaweza kutaka battle na Tz.
 
1684270329029.png
 
Another electric charging point opens in nakuru. Adoption of electric mobility in kenya is quiet fast
FB_IMG_16842192066427908.jpg
 
TANZANIA BUS.
View attachment 2624214
VS
KUNYANI KENYA..
View attachment 2624215
NIMESIMAMA PALE NA GDP YANGU NASUBIRI UGALI GITHERI [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji13][emoji14][emoji16]
Wakati nyinyi mnaona faraja kwa kuwapea wachina kazi zote na kuimport fully built buses, tazama hatua zimepigwa na kenyan local assemblers and fabricators
FB_IMG_16842700822102735.jpg
 
Kwa wale wapuuzi wankudai mjomba alipendelea kwao wasikie hii [emoji116]. Geza Ulole njoo uone mwamba hata kabla ya uraisi wake alikua ni mtu wa kunyoosha tu .
Hapa tulipoteza mtu Watz, kama ni kweli kuna mkono wa mtu basi walituweza kweli kweli, tumuandae Bashe naona naye ana chembechembe za kuwa hivi.
 
[emoji3][emoji23][emoji1787][emoji1787]
kabisa mkuu badala ya kwenda kuanzisha uzi wao huko wanakuja kutu changanyia habari hapa ...nafkiri wanajijua ...yaani wanapeana vitasa vya kufa mtu .......eti mkoa kaskazin vs mkoa kusini.....
[emoji23][emoji1787]
Kazi yao kupost naikoroboi yao na ayo MAMINALA
 
Back
Top Bottom