Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha inaongea ukweli 👏👏
Screenshots_2023-05-16-23-21-43.png
 
Stop ducking the uswazi issue…. I know you live in Tandale but that’s not an excuse…. Ama unataka nikushow uswazi in every town and “city” huko kwenu?…[emoji1787][emoji1787][emoji1787]….. LDC type….
Hakuna siku Kenya itafananishwa na Tz kwa njia yoyote ile, tulishawaacha, tuna maisha mazuri kuliko nyie, tuna miundombinu bora na ya kisasa kuliko nyie, tunaishi miaka mingi kuliko nyie.
 
Hakuna siku Kenya itafananishwa na Tz kwa njia yoyote ile, tulishawaacha, tuna maisha mazuri kuliko nyie, tuna miundombinu bora na ya kisasa kuliko nyie, tunaishi miaka mingi kuliko nyie.
Hakuna mtanzania angependa kuzaliwa Kenya kama wapo hawafiki watano ila I'm 100% sure that over 90% of Kenyans wish to be Tanzanians, I bet even you.
 
Hakuna siku Kenya itafananishwa na Tz kwa njia yoyote ile, tulishawaacha, tuna maisha mazuri kuliko nyie, tuna miundombinu bora na ya kisasa kuliko nyie, tunaishi miaka mingi kuliko nyie.
All I hear is blah blah blah ….arguing with you is like arguing with a goat….why are Still ducking the uswazi issue…????…. Are you an Uswazi activist?….🤣🤣🤣🤣
 
All I hear is blah blah blah ….arguing with you is like arguing with a goat….why are Still ducking the uswazi issue…????…. Are you an Uswazi activist?….[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama umeumia pole ila hiyo nmekupa ni facts, mnalazimisha tuwe sawa lkn hakuna uwezekano wa kuwa sawa, nyie nchi yenu iliharibiwa na tamaa ya mzee wenu Kenyatta alipojimegea ardhi yote yenye rutuba akawamegea na wanasiasa wenzie pamoja na whites, akawaacha nyie kajamba nani hamna ardhi na ukizingatia kanchi kenu kadogo, na over 80% ya ardhi ni kame.

So, ndiyo maana mafukara Kenya ni wengi sana thus y mna ma slums everywhere na makubwa kuliko yote duniani, hakuna sehemu ikakosa slums Kenya mpaka ikulu kuna slums, no wonder mkaamua kuzaana kama mchwa.
 
Unlike you “ perfect people in a perfect country “ we acknowledge our problems and act upon it….. do you know watu wana njaa hata Bongo?… you want proof?…[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Since your indepence you are still acting upon it?. Hahaha, hahahaha

Tanzania tuko na ukabila kuzidi Kenya, don't you know that?. hahahaha, hahaha.
 
Back
Top Bottom