Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania nchi ya maziwa na ásali… hakuna njaa… blah blah blah…..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Jicheck kwa map mzee ojwani,kisha fanya comparison

Dont waste your time
Screenshot_20230517-111404.jpg
 
Kundustan wao wanajifanaisha na USA 🇺🇸 ,Germany 🇩🇪, UK 🇬🇧,France 🇫🇷, Italy 🇮🇹 , na wao ni developed country ina maana miradi mingi tayari ilishajengwa mda mrefu hawana haja ya kujenga tena kama sisi tunavyojenga
Kenya ni taifa lililofeli, ukiachana na vi apartment ni mradi Gani wa maana unaendelea.?
 
Kujikombakomba tu kwa watu..
hamuwezi kufanya kazi nchini kwenu?


Hivi mbona hawa wanasiasa wa Kundustan wanahamasisha sana wakundustan kuikimbia nchi yao?
Siku kadhaa huko nyuma Rais Ruto (Mr Loot-All) huko korea ya kusini aliwaawahakikishia wakundustan more jobs in Korea , na sasa mwingine huyu tena . Hii nchi ni Typical Failed State. Kwanini wanawafukuza wananchi wao waende nchi za watu wengine ?
 
Hivi mbona hawa wanasiasa wa Kundustan wanahamasisha sana wakundustan kuikimbia nchi yao?
Siku kadhaa huko nyuma Rais Ruto (Mr Loot-All) huko korea ya kusini aliwaawahakikishia wakundustan more jobs in Korea , na sasa mwingine huyu tena . Hii nchi ni Typical Failed State. Kwanini wanawafukuza wananchi wao waende nchi za watu wengine ?
Ukishindwa kuwalisha na kuhudumia mifugo yako, njia nyepesi ni kuwaachia Ili wakazurure kwenye mashamba ya watu. Typical failed state.
 
Kwenye hii clip Mkenya anampiga mke wake vibaya [emoji23][emoji23] I wonder when will these uncivilised animals be civilized [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom