Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Kizazi cha wajinga wa hiv ni cha kukiteketeza chote, they don't deserve life. Magufuli alikosea sana kutowapoteza wote kwenye system.Ninakupata vizuri Sana, hili ni tatizo kubwa Sana, sio Tanzania tu, watu wa aina hii ndio wengi katika nchi hizi za dunia ya tatu.
Sasa nchi ikiwa na watu Kama hawa hata kwa 25%, kweli kutapatikana maendeleo?. Hawa ndio watanzania wachache waliosoma, wakirudi vijijini jamii inawaamini kwa Kila wanachosema kwasababu ni wasomi.
Hatuwez ishi kwenye dunia ya kuoneana haya kwa kivuli eti democracy/Human rights wakati wapumbavu wachache wanafaidi pesa za mamilioni ya watanzania maskini while common citizens wanateseka. Ni ujinga wa namna gani.?

